Wanawake akili zao wanazijua wenyewe

Wanawake akili zao wanazijua wenyewe

Hapo pa kuwa na wanawake wengi ndo unaharibu na wala hapakujengi.

Relationships huwa zinatufundisha mengi, zinatukosoa na kuujenga tukawa watu bora zaidi katika mahusiano yajayo.

Chagua mwanamke mmoja. Concentrate on her. Give her your all. Fight for your relationship. Hakikisha unajua A to Z ya mahusiano yenu. Nini anapenda, nini hapendi. Ujue udhaifu wako, na jinsi gani unakabiliana nao ili uhusiano uweze kusogea mbele.

Usiwe mtu wa kugive up kirahisi especially kama unampenda mwanamke na una malengo nae.

We women are complicated. We carry alot of weight on our shoulders and in our hearts. Ukute wanapokuambia they need time away, ni kwa ajili ya pressure za maisha na wanahitaji kweli kupumua na sio kuachana tu.

Hapo sasa ndo unaonyesha mapenzi kwa kumtoa out dinner ama movies, massage and believe me akisha relax, ataweza kuondoa uzito moyoni.

Come on man. No quitting.

well said
 
Ndugu yangu hata plan ya maisha huna nayo heti unajisifia umemgonga kwenye lodge. Tafuta nyumba upange mtoto akija kweli anakuwa na matumaini na wewe.
Half Kuna watoto wengine kwenye Lodge awapendi kaa naye muulizie unapenda sehemu gani ukutane naye kwa ajili ya show.
Half unaweza kujikuta wewe ndo una tatizo kuimalisha uhusiano
 
Namimi namuambia Siri kuu ukitaka mwanamke mwenyewe akuabudu ata asiweze kukuchomoka Kila mnoapokutana mpe pesa usimnunulie kitu maan anawez asikipende inshort ata ugegede kwa bidii kiasi gani Bila kujali maitaji mbadala ya mschana atakuacha walahi sio ao tu ata mimi binafsi usipoonesha kunicare aseee nakubwaga [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ewaaaaaa kuanzia Leo naanza kuku-care[emoji23] [emoji125] .
 
Je uliwahi mpa taarifa kua unajipanga kwenda kwao April ili ajue kua hautaki mpotezea muda wake?au ulijipanga kichwan mwako peke yako?
 
Sasa na wewe si wa kuaminiwa,Mbona unakuwa na videmu ving?????
 
We nae punguza,wengi wote hao wa nini na mgonjwa haya jamani,kqaaaa
 
Kuwa mwaminifu kwanza alafu ndio ulalamike MTU akichepuka.
Mimi sina ujasiri huo aisee mbaya zaidi siyo Mke na mm nina michepuko siwezi Kanisa
Nikilalamika kitu ujue alicho nitendea siwezi kukitenda tofauti na hapo ni jinalangu litakuwa(mnafki)
 
Me napenda,maana naenjoy sana saiv kuliko nlvokua kwenye relation..
Ni kweli ila siyo kwa 100%. Kila mtu yupo ktk hali fulani kwasbb maalumu. Itafika muda utatamani kuwa na mtu sahihi ila kutokana na wengi kutokuwa sahihi ndiyo maana unaona hakuna ulazima wwte. Hapo ulipo ukikutana na mume na mke wanatembea na watoto wao wanacheka. Hapo mawazo mapya yanaingia ktk kichwa chako.
Kila kitu kina wakati ila wakati fulani ukifika utatamani sana upate mtu
 
Hapo pa kuwa na wanawake wengi ndo unaharibu na wala hapakujengi.

Relationships huwa zinatufundisha mengi, zinatukosoa na kuujenga tukawa watu bora zaidi katika mahusiano yajayo.

Chagua mwanamke mmoja. Concentrate on her. Give her your all. Fight for your relationship. Hakikisha unajua A to Z ya mahusiano yenu. Nini anapenda, nini hapendi. Ujue udhaifu wako, na jinsi gani unakabiliana nao ili uhusiano uweze kusogea mbele.

Usiwe mtu wa kugive up kirahisi especially kama unampenda mwanamke na una malengo nae.

We women are complicated. We carry alot of weight on our shoulders and in our hearts. Ukute wanapokuambia they need time away, ni kwa ajili ya pressure za maisha na wanahitaji kweli kupumua na sio kuachana tu.

Hapo sasa ndo unaonyesha mapenzi kwa kumtoa out dinner ama movies, massage and believe me akisha relax, ataweza kuondoa uzito moyoni.

Come on man. No quitting.

Ujumbe Mzuri ever.Kama single nipe nafasi
 
Back
Top Bottom