Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,258
- 20,712
- Thread starter
- #101
Hao ni kasumba tu za kutawaliwa. Na ukweli ni kwamba wazungu huwa wanawafanyia mambo ya ajabu sana lakini wanakubali eti kwa sababu ni wazungu.
Hii inaweza kuwa ni post kama ya 4 hivi inazungumzia jambo hilihili,hebu wadada fungukeni kuhusu hii kitu!