Kwa mila yetu baba hahudhurii harusi ya binti yake, anawakilishwa tu na kijana wa kiume.
Nafikiri hilo tu lilikuwa na maana kubwa sana.
Bado sijawa na binti, ila uchungu nilionao hata kwa mdogo wangu wa kike, aiseee!
Yaani kuna siku tu najikuta nataka hata kulia nikiwazia huenda ana mpenzi mzushi huko, badaye naanza kujigombeza mwenyewe hivi nawaza ujinga gani
Nafikiri hilo tu lilikuwa na maana kubwa sana.
Bado sijawa na binti, ila uchungu nilionao hata kwa mdogo wangu wa kike, aiseee!
Yaani kuna siku tu najikuta nataka hata kulia nikiwazia huenda ana mpenzi mzushi huko, badaye naanza kujigombeza mwenyewe hivi nawaza ujinga gani