Wanaume wenye watoto wa kike, utajisikiaje ama ulijisikiaje siku binti yako anaolewa?

Carleen

JF-Expert Member
Nov 6, 2018
7,502
25,108
Hi guys,

Hope mpo sawa,

Nimefikiria hili jambo baada ya juzi kuwa kwenye shughuli flani ya send-off ya rafiki yangu, na kumuona baba yake mzazi akilia machozi yaani ile lia huku anajikaza na kuficha, wakati Mama yake alikuwa tu sawa usoni, ya moyoni siyajui!

Nilizoea kuona wamama ndiyo huwa wanalia zaidi, Kulia Baba kulinifanya nijiulize ni machozi ya furaha, au ni kawa tu emotional? Ama kuna kitu anafikiria kuhusu bintiye, sikupata jibu na sikuweza uliza yoyote ila kiukweli ile hali ilinifanya nijiskie vibaya,

Nikafikiria kuhusu yule mzee wangu, jinsi anavyonijali na kunipenda vile na yeye atajiskiaje siku akijua officially ndiyo naondoka mikononi mwake, atajiskia vibaya kwamba sasa binti yake unaenda chini ya uangalizi wa mwanaume mwingine tofauti na yeye.!? Or will he be proud of himself for raising Me well.??

Eti wanaume, utajiskiaje huyo bintiyo kwa jinsi unavyompenda hivyo, ikafika siku ndiyo anaenda officially kwenye usimamizi wa mwanaume mwingine tofauti na wewe?? Mwanaume usiyemjua tabia zake, hujui kama atampenda kweli na kumjali kama unavyofanya wewe, utakuwa na amani kweli?? Ama kwa wale tayari wako na experience ulijiskiaje siku ulipoozesha binti yako.!? am just being curious honestly..!
 
Hi guys,
Hope mpo sawa,
Nimefikiria hili jambo baada ya juzi kuwa kwenye shughuli flani ya send-off ya rafiki yangu, na kumuona baba yake mzazi akilia machozi yaani ile lia huku anajikaza na kuficha, wakati Mama yake alikuwa tu sawa usoni, ya moyoni siyajui.!
Ni
Kiukweli kama binti yangu amepevuka vyakutosha ikiwemo umri ,elimu na uwezo wa kiuchumi asimtegemee mwanaume.
Jibu ni YES nitafurah maana kuolewa sio kifo kwamba sitamuona milele na kuwa kuolewa ni stara kwa mwanamke. Ingawa inauma mazoea ndio tatizo ila kama ni mtu moja barid lazima nitumie siku iyo maana kumlea binti mpk mwanaume amuone anafaa kuolewa si kazi ndg
 
Nahisi mimi wataniokota kwa kulia na kugaragara. Maana navuta picha ninavyowakunja watoto za watu kama kambare, halafu kamalaika kangu na kenyewe wakakafanyie hivyo hivyo.

On the real though, itauma kama mzazi kwa vile kwenye macho yako daima atakuwa ni binti yako mdogo. Ila ni baraka kubwa kwa dunia yetu ya leo kushuhudia ndoa ya binti yako. Wengi siku hizi kama hawajakuletea mimba nyumbani isiyokuwa na baba watakuletea mwanamke mwenzie anaemuita mume.

So machozi yatatoka kwa furaha na huzuni iliyo nzuri siku nitakayomuozesha binti yangu. Mungu anipe uhai wa kuja kuiona tu.
 
Nahisi mimi wataniokota kwa kulia na kugaragara. Maana navuta picha ninavyowakunja watoto za watu kama kambare, halafu kamalaika kangu na kenyewe wakakafanyie hivyo hivyo.

On the real though, itauma kama mzazi kwa vile kwenye macho yako daima atakuwa ni binti yako mdogo. Ila ni baraka kubwa kwa dunia yetu ya leo kushuhudia ndoa ya binti yako. Wengi siku hizi kama hawajakuletea mimba nyumbani isiyokuwa na baba watakuletea mwanamke mwenzie anaemuita mume.

So machozi yatatoka kwa furaha na huzuni iliyo nzuri siku nitakayomuozesha binti yangu. Mungu anipe uhai wa kuja kuiona tu.
Hadi marinda watafumua kama wewe unavyowafumua wa wenzio
 
Kiukweli kama binti yangu amepevuka vyakutosha ikiwemo umri ,elimu na uwezo wa kiuchumi asimtegemee mwanaume.
Jibu ni YES nitafurah maana kuolewa sio kifo kwamba sitamuona milele na kuwa kuolewa ni stara kwa mwanamke. Ingawa inauma mazoea ndio tatizo ila kama ni mtu moja barid lazima nitumie siku iyo maana kumlea binti mpk mwanaume amuone anafaa kuolewa si kazi ndg
Shukrani sana Cyber Expert, Mungu akakupe haja ya moyo wako..!!
 
Nahisi mimi wataniokota kwa kulia na kugaragara. Maana navuta picha ninavyowakunja watoto za watu kama kambare, halafu kamalaika kangu na kenyewe wakakafanyie hivyo hivyo.

On the real though, itauma kama mzazi kwa vile kwenye macho yako daima atakuwa ni binti yako mdogo. Ila ni baraka kubwa kwa dunia yetu ya leo kushuhudia ndoa ya binti yako. Wengi siku hizi kama hawajakuletea mimba nyumbani isiyokuwa na baba watakuletea mwanamke mwenzie anaemuita mume.

So machozi yatatoka kwa furaha na huzuni iliyo nzuri siku nitakayomuozesha binti yangu. Mungu anipe uhai wa kuja kuiona tu.
Hahahaa..!
Nimecheka, kuna wanaume wenzio wanawaona hao unaowagaragaza kama malaika pia,

Mungu akupe sawa na haja ya moyo wako..!!
 
Niliwahi kuambiwa kuwa Wazee wa Kichaga miaka ya nyuma walikua hawahudhurii kwenye sherehe za harusi za mabinti zao. Tena sio kwenye kupokea mahari wala siku anaolewa na kuondoka kabisa hapo nyumbani

Kikubwa walikua wanaona kama ni kitendo cha aibu na fedheha kwa baba mtu mzima anajua kabisaa bint yake anakwenda kufanywa nini halafu eti yeye asherehekee😀😀😀

Nadhani walipogundua kua mwanamke kaumbwa kwa ajili ya hiyo shughuli na wala sio tusi wakaanza kuhudhuria kwenye sherehe za ndoa za binti zao😀😀😀
 
Hi guys,

Hope mpo sawa,

Nimefikiria hili jambo baada ya juzi kuwa kwenye shughuli flani ya send-off ya rafiki yangu, na kumuona baba yake mzazi akilia machozi yaani ile lia huku anajikaza na kuficha, wakati Mama yake alikuwa tu sawa usoni, ya moyoni siyajui!

Nilizoea kuona wamama ndiyo huwa wanalia zaidi, Kulia Baba kulinifanya nijiulize ni machozi ya furaha, au ni kawa tu emotional? Ama kuna kitu anafikiria kuhusu bintiye, sikupata jibu na sikuweza uliza yoyote ila kiukweli ile hali ilinifanya nijiskie vibaya,

Nikafikiria kuhusu yule mzee wangu, jinsi anavyonijali na kunipenda vile na yeye atajiskiaje siku akijua officially ndiyo naondoka mikononi mwake, atajiskia vibaya kwamba sasa binti yake unaenda chini ya uangalizi wa mwanaume mwingine tofauti na yeye.!? Or will he be proud of himself for raising Me well.??

Eti wanaume, utajiskiaje huyo bintiyo kwa jinsi unavyompenda hivyo, ikafika siku ndiyo anaenda officially kwenye usimamizi wa mwanaume mwingine tofauti na wewe?? Mwanaume usiyemjua tabia zake, hujui kama atampenda kweli na kumjali kama unavyofanya wewe, utakuwa na amani kweli?? Ama kwa wale tayari wako na experience ulijiskiaje siku ulipoozesha binti yako.!? am just being curious honestly..!

Ni Jambo gumu Sana Sana Sana! Ndo maana Ni vyema Sana kuwa Makini!

Namjali Sana binti yangu, Na ndoa zimekua ngumu Sana, Kwa kweli Ni karata ngumu Sana anapoolewa.

Wakati mwingine wazazi hawakurizika; Ni changamoto! Kwa hiyo Ni muhimu Sana both parents Na binti wajitahidi kukubaliana Kwa busara Kwenye uchaguzi!

Wakati mwingin tunawaona wazee Ni conservatives, Ila nakushauri wasikilize Kama kweli walikupenda na kukulea Kwa dhati

Kosa kubwa Ni mabinti kuwa karibu Na Mama Zao wakati wa kuolewa; Baba Ni mwanaume, anajua wanaume, kuwa karibu naye!

Mzazi wa kiume atakuwa amefanikiwa Sana Sana Sana Kama atamfanya mtoto wake wa kike awe huru kujadili Haya mambo.

Wakati binti yangu anakuwa, Mwenye miaka 9 Hivi kila akibambia taarifa Za Vijana watukutu namfurahia Sana, that build good relationship.
 
Hi guys,

Hope mpo sawa,

Nimefikiria hili jambo baada ya juzi kuwa kwenye shughuli flani ya send-off ya rafiki yangu, na kumuona baba yake mzazi akilia machozi yaani ile lia huku anajikaza na kuficha, wakati Mama yake alikuwa tu sawa usoni, ya moyoni siyajui!

Nilizoea kuona wamama ndiyo huwa wanalia zaidi, Kulia Baba kulinifanya nijiulize ni machozi ya furaha, au ni kawa tu emotional? Ama kuna kitu anafikiria kuhusu bintiye, sikupata jibu na sikuweza uliza yoyote ila kiukweli ile hali ilinifanya nijiskie vibaya,

Nikafikiria kuhusu yule mzee wangu, jinsi anavyonijali na kunipenda vile na yeye atajiskiaje siku akijua officially ndiyo naondoka mikononi mwake, atajiskia vibaya kwamba sasa binti yake unaenda chini ya uangalizi wa mwanaume mwingine tofauti na yeye.!? Or will he be proud of himself for raising Me well.??

Eti wanaume, utajiskiaje huyo bintiyo kwa jinsi unavyompenda hivyo, ikafika siku ndiyo anaenda officially kwenye usimamizi wa mwanaume mwingine tofauti na wewe?? Mwanaume usiyemjua tabia zake, hujui kama atampenda kweli na kumjali kama unavyofanya wewe, utakuwa na amani kweli?? Ama kwa wale tayari wako na experience ulijiskiaje siku ulipoozesha binti yako.!? am just being curious honestly..!
Kwenye kuolewa mabinti zetu huwa tunafurahi sana,ila shida na maumivu makali huwa mabinti zetu wanapo ziniwa. Aisee hapa unaweza ua mtu.

Naishia hapa.
 
Siku Dada yangu anaolewa, nilikuwa pembeni ya mzee wangu, nilimshuhudia akishusha chozi, ile moment inakuwa intense sana kwake kama mzazi. Wengine wanalia kwa furaha na kujivunia kumlea binti yao mpaka amekuwa binti mkubwa, na sasa anaolewa.
 
Hi guys,

Hope mpo sawa,

Nimefikiria hili jambo baada ya juzi kuwa kwenye shughuli flani ya send-off ya rafiki yangu, na kumuona baba yake mzazi akilia machozi yaani ile lia huku anajikaza na kuficha, wakati Mama yake alikuwa tu sawa usoni, ya moyoni siyajui!

Nilizoea kuona wamama ndiyo huwa wanalia zaidi, Kulia Baba kulinifanya nijiulize ni machozi ya furaha, au ni kawa tu emotional? Ama kuna kitu anafikiria kuhusu bintiye, sikupata jibu na sikuweza uliza yoyote ila kiukweli ile hali ilinifanya nijiskie vibaya,

Nikafikiria kuhusu yule mzee wangu, jinsi anavyonijali na kunipenda vile na yeye atajiskiaje siku akijua officially ndiyo naondoka mikononi mwake, atajiskia vibaya kwamba sasa binti yake unaenda chini ya uangalizi wa mwanaume mwingine tofauti na yeye.!? Or will he be proud of himself for raising Me well.??

Eti wanaume, utajiskiaje huyo bintiyo kwa jinsi unavyompenda hivyo, ikafika siku ndiyo anaenda officially kwenye usimamizi wa mwanaume mwingine tofauti na wewe?? Mwanaume usiyemjua tabia zake, hujui kama atampenda kweli na kumjali kama unavyofanya wewe, utakuwa na amani kweli?? Ama kwa wale tayari wako na experience ulijiskiaje siku ulipoozesha binti yako.!? am just being curious honestly..!

Ilo ni jambo jema sana mkuu! Kwa sisi tunaolea watoto wa kike tunajua changamoto yakulea Wakike na pia dunia ipo vbaya sana now days mkuu!!!

Binti Kufika iyo hatua ni jambo la kumshukuru Mungu kakuheshimisha maana unafikiri ingekuwaje labda akakatisha Masomo yake kwkupewa mimba??

binafsi huwa natafakari sana aisee, na manyang’au yapo nje yanasubiri mtoto akue wapite nae.... uyo mzazi analia kwamba nimekuvusha salama mwanangu na leo nashuhudia ndoa takatifu, binafsi ikifika hiyo hatua nikamuozesha lazima nitoe sadaka kubwa kwa Mungu,
Kulea watoto siku izi sio mchezo ukijichanganya tu kaharabikiwa na linakuwa zigo lako
 
Back
Top Bottom