Wanaume wenye watoto wa kike, utajisikiaje ama ulijisikiaje siku binti yako anaolewa?

Kipindi nipo secondary na msingi baadhi ya walimu wageni walijua mimi mwanamke sijui walivyoniona sura na huu weupe
mpaka nisimame waone kasuruali nikiongea kabess ndo wanajishtukia
Hivyo binadamu mtakatifu, wewe ni kahendsamu halafu mweupe, una ka base kidogo sivyo.!?
 
Naelewa ndiyo rafiki yangu, ila nazungumzia kale ka feeling ka kupendwa ile true love hasa ndiyo tamanio langu'..!
kwa hili tamanio lako mshirikishe sana mungu kila upatapo wasaa, mungu ni mwaminifu sana naamini atakupa haja ya moyo wako
 
Nadhan ni maumivu, nina kabinti kangu kadogo bado tunapendana sana, kutokana na majukumu yupo mbali kdg namimi, ila sikukuu ya Krismass nikaona niende kukatembelea, sasa siku ya kuondoka na kukaacha ikafika, huwezi amin machozi yalinitoka, kalikuwa kameshika bag yangu kanazuia isiingizwe kwenye gari huku kakilalamika "baba ulisema unanipenda sa mbona unaniacha".. ile siku nilipata hisia za ajabu moyon nililia sana, sikuwa comfortable almost wiki nzima ikawa nakapigia simu kila siku asubuhi, mchana na Jion.

Sasa siku anaenda kuolewa, sijui itakuwaje, na akiwa huko kwenye ndoa nikasikia ananyanyaswa, nadhan Jela itanihusu.
 
Nadhan ni maumivu, nina kabinti kangu kadogo bado tunapendana sana, kutokana na majukumu yupo mbali kdg namimi, ila sikukuu ya Krismass nikaona niende kukatembelea, sasa siku ya kuondoka na kukaacha ikafika, huwezi amin machozi yalinitoka, kalikuwa kameshika bag yangu kanazuia isiingizwe kwenye gari huku kakilalamika "baba ulisema unanipenda sa mbona unaniacha".. ile siku nilipata hisia za ajabu moyon nililia sana, sikuwa comfortable almost wiki nzima ikawa nakapigia simu kila siku asubuhi, mchana na Jion.

Sasa siku anaenda kuolewa, sijui itakuwaje, na akiwa huko kwenye ndoa nikasikia ananyanyaswa, nadhan Jela itanihusu.
Jamani, kusoma tu hichi umeandika hapa moyo umeniuma..! Endelea kumuonesha upendo mkuu usiache, utatengeneza mwanamke mmoja jasiri na mwenye upendo wa ajabu sana..!
Kuna upendo mzuri sana kwa mabinti waliopendwa sana na Baba zao..!
Kasalimie kababy..!
 
Nadhani kuolewa ni jambo la heshima kwenye kila familia hivyo ni jambo la kujivunia kwa baba wa Binti.....

Na ni matarajio ya wazazi wengi baada ya malezi bora ya binti yao Sasa amepata mtu wa kumsitiri na kumlea katika misingi mizuri.....

Jambo la aibu na fedheha kwa baba ni suala binti yako kuzalishwa akiwa nyumbani.....ukweli ulio bayana ni kwamba Hilo tendo linaleta taswira mbaya kwenye familia.......
 
Jamani pole Jane..!
Mzee alishindwa kuvumilia kuwepo eneo lile nadhani, na ulijiskiaje kuona baba hayupo around..! Hukuhuzunika zaidi..!?
Nilijiskia vibaya Sana
Nikawa nauliza baba yupo wapi wakasema hayupo nikawa naangaza huku na huku simuoni
 
Back
Top Bottom