Wadiz
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 5,413
- 11,061
Mimi Wadiz nawasalimu na hapa chini ni ujumbe wangu kwenu wenye kupangia watu maisha.
Wanawake wanatakiwa kujua sisi wanaume ambao hatutaki kuoa hatuna sifa ya husband material kabisa.
Ndiomana wengi wetu pia hatutaki single mothers kwa sababu hatutaki kubeba majukumu ya wengine.
Sisi wakataa kuoa tunataka 50-50 chako changu changu chako. Ndiomana kwanza hatutaki wanawake ombaomba sisi hisia zetu za mapenzi sio kama za hao mateka wengine.
Hata tukiwa na hao single mothers story za watoto hatutaki kusikia sijui ada, sijui utumbo gani.
Sisi tunawaza dili za maokoto tu na kujua viwanja vipya, kujenga frame za kupangisha, tunawekeza kwenye saloon Kali za kiume, tupo kwenye kilimo, tupo kwenye pembejeo, tupo kwenye maduka ya hardware.
Pia sisi baadhi yetu ambao ni wana CCM tunachsngia sana mawazo na michango pesa kwenye maendeleo ya chama chetu yaani CCM.
Siwezi kuwaza kukijenga chama na pia nikawaza kuhusu kuoa hilo sahau. Sina ndoto ya kuhama CCM hivyo kuhusu kuoa haitatokea.
Wapinzani sio maadui wangu na napenda mawazo mbadala Tanzania ni yetu sote.
Kwa hio hata mnaopambania kuoa nyie ni ndugu zetu kila mtu aishi kwa kuchagua na kupanga ndio maisha. yake.
Enzi za ujamaa wa kijinga umeishia.
Narudia tena sisi mabaharia wakataa kuoa sio husband material kabisa. Kipaji chetu tulio wengi ni kutafuta maokoto na kujenga uchumi wa nchi hasa kipaumbele cha uwekezaji.
Ni hayo tu.
Wadiz
Wanawake wanatakiwa kujua sisi wanaume ambao hatutaki kuoa hatuna sifa ya husband material kabisa.
Ndiomana wengi wetu pia hatutaki single mothers kwa sababu hatutaki kubeba majukumu ya wengine.
Sisi wakataa kuoa tunataka 50-50 chako changu changu chako. Ndiomana kwanza hatutaki wanawake ombaomba sisi hisia zetu za mapenzi sio kama za hao mateka wengine.
Hata tukiwa na hao single mothers story za watoto hatutaki kusikia sijui ada, sijui utumbo gani.
Sisi tunawaza dili za maokoto tu na kujua viwanja vipya, kujenga frame za kupangisha, tunawekeza kwenye saloon Kali za kiume, tupo kwenye kilimo, tupo kwenye pembejeo, tupo kwenye maduka ya hardware.
Pia sisi baadhi yetu ambao ni wana CCM tunachsngia sana mawazo na michango pesa kwenye maendeleo ya chama chetu yaani CCM.
Siwezi kuwaza kukijenga chama na pia nikawaza kuhusu kuoa hilo sahau. Sina ndoto ya kuhama CCM hivyo kuhusu kuoa haitatokea.
Wapinzani sio maadui wangu na napenda mawazo mbadala Tanzania ni yetu sote.
Kwa hio hata mnaopambania kuoa nyie ni ndugu zetu kila mtu aishi kwa kuchagua na kupanga ndio maisha. yake.
Enzi za ujamaa wa kijinga umeishia.
Narudia tena sisi mabaharia wakataa kuoa sio husband material kabisa. Kipaji chetu tulio wengi ni kutafuta maokoto na kujenga uchumi wa nchi hasa kipaumbele cha uwekezaji.
Ni hayo tu.
Wadiz