Wanaume wanaotoka nje ya ndoa

Wanaume wanaotoka nje ya ndoa

Hommie Kaizer, ukiwaona hao mabinti kwa red waambie nimewamisi sana. Afu umenionea wapi amu? Ukimwona mwambie namsalimia sana. Nawe upokee salam toka kwa cacico, ananilelea mimba ya mapacha wangu.

Mi sioni red hapo Asprin. amu yupo chit chat nimemwona lwen sredi ya sharifaaa. Hizo salamu za shemeji yangu naomba nisizipokee kabisaaaa
 
Last edited by a moderator:
Hahaha apo saaa...mchina wangu hajaonyeshapo bana. Ablessed amedai eti yeye ni mmama hataki kukaguliwa
Mwambie aache longolongo, asije kuwa kama machalii ya lile chama kubwa.



992948_10201247872948004_226783769_n.jpg
 
Mwambie aache longolongo, asije kuwa kama machalii ya lile chama kubwa.



992948_10201247872948004_226783769_n.jpg
Hahahahahaha hiii nimeipenda , kumbe hawa watu ni madalali mbona sisi wanachama hatuna habari au ni mimi peke yanguf. Itabidi niende lumumba nikaulizie vizuri mwee.
 
Igwe like this....
Mimi huwa siwanyimi maana najua natimiza natural law. Hah hah . Uliza ni mademu wangapi wanapiaga mwezi hawajapata dume. Kazi yetu ni moja tuuu. Iko wazi
 
Nilitegemea utajiuliza hivi "kama huyu mtu kaamua kufunga pingu ya maisha, halafu akaingia katika maisha ya ndoa, kitu gani kinachotokea na kusababisha mtu atoke ndani ya ndoa?
Wakati mwingine mnaweza mkalaumu wanaume lakini chanzo kikawa mke.
Amini usiamini, Kuna watu wanaficha uhalisia wao,wakishaolewa ndiyo utawajua vizuri mkiwa ndani ya ndoa.
 
jamani mi mme wa mtu lakini mademu zangu wa nje ninaokua nao wote ni wake za watu so tusilaumiane
 
Najua, nitarushiwa kijembe kuwa nawapendelea wananwake! Any way, na mimi pia ni mwanamke! Nafikiri katika mambo yanamuuma mke, ni mume kutoka nje ya ndoa! Hata hawa watu wafanyweje jamani! Kama hawajaridhika si waache wasioe kwanza?Pamoja na hayo, nifikishe hongera zangu kwa good and committed husbands, ambao ni waaminifu kwa wake zao, keep it up!


Sometimez huwez kuwalaumu wanaume tuu, na hao wanawake wabaotembea na waume za watu je? Hao ndo wanastahili kuuliwa kabisa, nna marafiki zangu hao busy na waume za watu eti they say mume wa mtu ndo anajua kulea sio hawa mayankee na upuuzi kibao, mm naona kwanza hao wanawake ndo wajirekebishe waachane na waume za watu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom