kweli kuna mume ambaye hajawahi kutoka nje ya ndoa kabisa?!!! hata wa hum ndani watakaa ila moyoni nwao nafsi zina wasunta.
vipi kuhusu wanawake wanatoka nje?
We acha, jirani yangu aliitwa na manesi (wakunga) wakaanza kumsuta/kumsema kuwa aache kumuingilia mkewe mlango wa nyuma, wakati jamaa hajawahi kabisa kufanya hivyo. Baada ya vikao vya ndugu na majirani wa karibu ikawekwa wazi kuwa kuna muhuni mmoja mtaa wa jirani ndie alikuwa speshalisti wa kushughulikia tigo ya yule mama. Inasemekana yule mama/dada alizoea mchezo ule kabla hajaolewa, kwa bahati mbaya mumewe hatumii kabisa upande huo.
dada mkubwa heshima kwako!! Tutafute wanaume wa nje, unaonaje mwali! Kwi kwi kwi kwi!
ha haaaaa, wewe mtoto nitake radhi dada mkubwa......dada mkubwa heshima kwako!! Tutafute wanaume wa nje, unaonaje mwali! Kwi kwi kwi kwi!
ha haaa, unaijua theory ya one to one mdogo wangu?utasubiri sana pole!
hivi unamume nikusaidie?
hivi cacico unamwelewa mdogo wangu amu lakini?umeona eee halafu wa kwaza kuja kulalamika humu
mburula's ndo watakuja kujivua humu
sijambo mdogo wangu, upo??jambo wewe...
tena unakimbiza vibaya mnoooooooo!! Kwi kwi kwi eti yanazeesha, nimechekaaaa!ha haaaaa, wewe mtoto nitake radhi dada mkubwa......
Cha kutaka kujizeesha harakaharaka!
Yale madude ukichanganyachanganya nasikia unazeeka haraka...... Si unaniona dadako ninavyokimbiza?
ha haaaa, kweli mdogo wangu yanazeesha yale ukiyachanganya changanya.....tena unakimbiza vibaya mnoooooooo!! Kwi kwi kwi eti yanazeesha, nimechekaaaa!