Wanaume wanaotoka nje ya ndoa

Wanaume wanaotoka nje ya ndoa

Hahahah...haya fumbua macho uone haka kabinti kanavyohangaika kuweka mandhari ya kitanda sawa sawia...sasa hivi ndio nashushiwa net hapa...

hako kabinti?
Naona dharau mnaleta sasa eee?
Ooo patawaka moto humu sasa hivi
 
Yani siku hizi kuomba papuchi imekuwa sawa na kuomba maji ya kunywa kwa iirani...... na kila mtu analipigia makofi.... why? Na dada zetu ndo kabsaaaaaa :banghead:
 
Yaani awe wangu peke yangu? Hata sumu ya panya unaweza kushare na jirani. As long as share yako inakutosha, why bother about the rest? Kwanza ndo kaulimbiu ya siku ya mazingira duniani! Unakula huku unawaza
awe wako peke yako sumu hiyo!ahahahhahhaha wewe!
kwanza kuna maziwa siku hiz!
uuuwih!
where is Kongosho wen i need her the most!
 
Last edited by a moderator:
Hahaha. Muambie atagandwa hadi ataachia sarawili. Siku hizi hali mbaya aisee.
wewe utakuwa upo German na hujaja bongo.
Siku ukija bongo kitu cha kwanza utafanya hiko.
Btn kutoka nje ya ndoa hulaghaiwi tamaa zako mwenyewe
 
Hahaha ukiwasha moto mbona utaniunguzia godoro langu jamani...
Best miye muda wa kupark gari umefika, adios!!!

hako kabinti?
Naona dharau mnaleta sasa eee?
Ooo patawaka moto humu sasa hivi
 
wewe utakuwa upo German na hujaja bongo.
Siku ukija bongo kitu cha kwanza utafanya hiko.
Btn kutoka nje ya ndoa hulaghaiwi tamaa zako mwenyewe
Nipo Hapa hapa Bongo na sehemu ninayokaa kuna kila aina ya mwanamke wanaonizunguka. hizo ni tamaa tu
 
Na nyie wanawake mnazidi, tena mna balaa kweli kweli ya kukosa malezi. Ngojeni kichwa changu kikitulia nitawawekea bandiko moja murua la FUNDA MWANA. Maana sasa mmekengeuka na kuwa kama virukanjia halafu nyinyi hao hao mnalalamika.

Mbele mwanamke mwenye ufahamu, mwanaume hawezi kutoka nje. Labda kunywa juice na si kugegeda.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom