Wanaume wanaotoka nje ya ndoa

Wanaume wanaotoka nje ya ndoa

Mmmmh!! In ma addition ni kwamba, hata kama chanzo cha mwanamme kutoka nje ni mke, bado lawama zipo kwa mwanaume tu. Miss understanding hutokea ndan ya nyumba hatukatai, mwenye high power ya kucontrol hiyo hali ni mwanaume kwann achukulie huo ndo udhaifu wa mkewe na kuamua kutoka nje ya ndoa? Bado wanaume tunawalaum tu, ndo wanapelekea na wanawake kuwa na vidumu vya nje as a part time tu.
 
Najua, nitarushiwa kijembe kuwa nawapendelea wananwake! Any way, na mimi pia ni mwanamke! Nafikiri katika mambo yanamuuma mke, ni mume kutoka nje ya ndoa! Hata hawa watu wafanyweje jamani! Kama hawajaridhika si waache wasioe kwanza?Pamoja na hayo, nifikishe hongera zangu kwa good and committed husbands, ambao ni waaminifu kwa wake zao, keep it up!
Kwa hesabu ndogo tu ni kwamba;
Ukienda kila kijiji, wanawake ni wengi kuliko wanaume, kanisani wanawake ni wengi kuliko wanaume, sokoni wanawake ni wengi kuliko wanaume. Yaani karibu kila mahali wanawake ni wengi kuliko wanaume; sasa wewe unataka wenzako wahudumiwe wapi? Acha uchoyo, cha msingi wewe tulia kwenye ndoa yako.
 
una maana na mwanamke naye akigundua pretence kwa mume naye atoke nje?
Nilitegemea utajiuliza hivi "kama huyu mtu kaamua kufunga pingu ya maisha, halafu akaingia katika maisha ya ndoa, kitu gani kinachotokea na kusababisha mtu atoke ndani ya ndoa?
Wakati mwingine mnaweza mkalaumu wanaume lakini chanzo kikawa mke.
Amini usiamini, Kuna watu wanaficha uhalisia wao,wakishaolewa ndiyo utawajua vizuri mkiwa ndani ya ndoa.
 
i dont flit outside my marriage nna sababu kuu moja! I lived to see my closest yaani very closest people toka wanaanza ku flirt mpaka wote wanakufa na UKIMWI takriban 3 baba wadogo! Washkaji wa kitaa. Iliniuma sana nikaweka vow kwamba nikioa sitaki kuwa chanzo cha misiba.

Big up! I wish kama wanaume wote na wanawake wote walioko kwenye ndoa wangekuwa na mtazamo kama wako basi maambukizi yangepungua kwa kiasi kikubwa! watoto wa mitaani wangepungua! kila kitu kingeenda safi! kama hiyo ndo kaulimbiu yako Mungu akuwezeshe na akubariki! zaidi akupiganie usijeanguka maana naamini shetani atakuwa akikunyemelea sana!
 
Ila chanzo ni wanaume ndiomaana kwa sasa hata wanawake wamekuwa si waaminifu kwenye ndoa zao
 
Najua, nitarushiwa kijembe kuwa nawapendelea wananwake! Any way, na mimi pia ni mwanamke! Nafikiri katika mambo yanamuuma mke, ni mume kutoka nje ya ndoa! Hata hawa watu wafanyweje jamani! Kama hawajaridhika si waache wasioe kwanza?Pamoja na hayo, nifikishe hongera zangu kwa good and committed husbands, ambao ni waaminifu kwa wake zao, keep it up!

Hakuna hata mmoja.
 
watu huwa mnajidanganya sana utasikia wanasema wacha ale/tule raha kwani maisha yenyewe ni mafupi! ukimuuliza mtu yeyote kama yupo tayari kufa hakuna anayeinua mkono. Kwa taarifa zinaa ni mojawapo ya vitu vinavyofupisha maisha na siku za kuishi za mtu achilia mbali ukimwi. Ni dhambi ambayo Mungu ameikemea kwa nguvu zote na ndio dhambi inayoongoza kwa nguvu zote! ni dhambi ambayo ukiitenda itaenda hadi kwa watoto wako! wanandoa tunakabiliwa na changamoto kubwa sana kulinda viapo vyetu hebu fikiria pale padri au mchungaji wako sijui viapo kwa ndo za kiisilam vinakuwa, mtu unaapa kuwa sitakuwa na uhusiano na mwanamke au mwanaume yoyote katka maisha yako isipokuwa mwenzi wako na unasema na hii ndio ahadi yako kwako mwenyewe, kwa mwenzi wako, kwa kanisa na kwa Mungu! ni ahadi kubwa hii ni jambo linatisha, linaogofya!
 
Asilimia 99 ya ubongo wa mwanaume umetawaliwa na mawazo ya sex sasa ww ulitegemea iweje. Mwanaume hata akiwa na mke mzuri km malaika akiona kifaa kingine kinamvutia na hata kulekea katika kufanya mapenzi. Sorry, ndivyo Mungu alivyoumba madada mstahimili tu.:tape::tape::tape::tape:
 
Ni tabia ya mtu tuu wengne tangu uboyfrnd na ugrlfrnd anacheat tuu unaweza amini akioa atatulia bt inakuwa yaleyale tuu tena zaidi ya pale ni tabia ya mtu tuu kucheat kama unampenda mtu wako kwann usimwambie akikosea dawa s kutoka nje hawaishi watoto wazuri wanazaliwa kila sku ni kujipanga na uliyenaye lakin kama unampenda.wengne wanaona kwa reason tuu huishia kuwatesa wake zao.basi kama wanawake ndo source basi wanawake asilimia kubwa wana matatizo kitu ambacho s kweli hiyo ni tabia men wanayo walio wengi

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
big up! I wish kama wanaume wote na wanawake wote walioko kwenye ndoa wangekuwa na mtazamo kama wako basi maambukizi yangepungua kwa kiasi kikubwa! Watoto wa mitaani wangepungua! Kila kitu kingeenda safi! Kama hiyo ndo kaulimbiu yako mungu akuwezeshe na akubariki! Zaidi akupiganie usijeanguka maana naamini shetani atakuwa akikunyemelea sana!

amen!!
 
There are currently 13 users browsing this thread. (1 members and 12 guests)

Mnasubiri nitamke humu ili mpeleke taarifa tena?
wanawake wana asilimia kubwa ya kuchangia mwanaume kutoka nje,wakivishwa pete tu basi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom