nsee a muro
JF-Expert Member
- Dec 12, 2012
- 241
- 124
sijaelewa hapa panajadiliwa nini kwakweli
ha haaaa, kweli mdogo wangu yanazeesha yale ukiyachanganya changanya.....
afya ni kulimiliki moja, unanawiiiriiii, kwa raha zako!
kwi kwi kwiiiiiiiiiiiiiiiii
mimi mzima kabisa hofu kwako.mzima ndugu??
sijawahi kuacha kukukumbuka wewe na The Boss kwa ushauri wenu mbarikiwe sana.
mimi mzima kabisa hofu kwako.
Nashukuru kama niliwahi kukupa ushauri uliokufanya usiache kunikumbuka.....
tatizo tunatoa maushauri kwa wengi mno, hata sikumbuki nilikushauri nini, lol!
kila la heri
Amina..... Ubarikiwe piawaswahili husema mtenda hakumbuki ila mtendwa........ ubarikiwe sana.
Umemuona eh? huyu mjukuu anahitaji bakora! we mwache tu.:A S-fire1:
Ya matakoni.fafanua vizuri bakora gani?
Njoo jigawie mimiAcha ubinafsi wewe wanaume wenyewe wachache, wacha tugawane burudani afteral ni wetu sote
nimeshamwambia, utamwona hapa soon
Najua, nitarushiwa kijembe kuwa nawapendelea wananwake! Any way, na mimi pia ni mwanamke! Nafikiri katika mambo yanamuuma mke, ni mume kutoka nje ya ndoa! Hata hawa watu wafanyweje jamani! Kama hawajaridhika si waache wasioe kwanza?Pamoja na hayo, nifikishe hongera zangu kwa good and committed husbands, ambao ni waaminifu kwa wake zao, keep it up!
bora uwaambie babu dc wanajivua nguo tu na ndoa zao.
mtenda hutendwa
kunya anye kuku. akinya bata kaharisha
wamama nao wanajifaraiji outside nawdays, ngoma droo!!
Macho hayana pazia bidada, wacha tuangalie uumbaji mzuri dunia na maua yake oooolalalaaaa.............!:kev:
Acha ubinafsi wewe wanaume wenyewe wachache, wacha tugawane burudani afteral ni wetu sote
Najua, nitarushiwa kijembe kuwa nawapendelea wananwake! Any way, na mimi pia ni mwanamke! Nafikiri katika mambo yanamuuma mke, ni mume kutoka nje ya ndoa! Hata hawa watu wafanyweje jamani! Kama hawajaridhika si waache wasioe kwanza?Pamoja na hayo, nifikishe hongera zangu kwa good and committed husbands, ambao ni waaminifu kwa wake zao, keep it up!