joyness
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 235
- 120
nyie si ndo mnakuwaga mainitiator japo wanawake nao siku hizi wamehamia digitali..ila nyie ni nomaa sketi ikipita tu tena awe ameumbika flani vijicho vinawatokaaaaa!Mbona lawama zote wazielekeza kwa wanaume utadhani huwa wanajifanya wenyewe.
Jambo la muhimu ni kwa wanawake kuacha pia kugawa mbunye hovyo hovyo, kwani si lazima mkitongozwa mkubali.
Kumbuka kujaamiana hakukamiliki pasipo jinsia mbili.