Wanaume wanaotoka nje ya ndoa

Wanaume wanaotoka nje ya ndoa

Mume wa mtu ni thumu vivyo hivyo na mke wa mtu ni thumu. Lkn inasikitisha sana wanaume wanaotoka nje ya ndoa wakati mwingine hawana hata sababu ya kufanya hivi . Kuna wanawake wanatimiza wajibu wao vizuri sana kwa waume zao lkn bado mume huyo atatoka tu nje. Tena basi na huko nje anakokwenda wengine wanateswa sana na nyumba ndogo hata kupelekea kufanyishwa kazi kama watumwa. Nyumbani mwanaume huyo haoshi vyombo wala kufua nguo lkn akienda huko kwenye nyumba ndogo anafanya kazi zote na wala hakuna hayo sijui maneno mazuri au nini. Kwa upande mwingine kuna wanawake wanatoka nje ya ndoa huwezi kuamini walahi . Kuna kitu bado kinanishangaza juu ya baadhi ya wamama,nao hawana sababu za msingi zinazowafanya watoke nje . Pia nami nawapa hongera wanandoa waliodumu ktk uaminifu . Tubadiike tumche Mungu ridhika na ulie nae kama kuna unachofuata nje hebu jadili na mwenzio ili mkifanye
 
Huwezi kuwa unakula wali nyama kila siku sometimes you may need chips kuku tehteh
 
Acha ubinafsi wewe wanaume wenyewe wachache, wacha tugawane burudani afteral ni wetu sote
Nikiwa, kitu kizuri kula na nani? I think hoja ingekuwa kwanini watu tunakata kamba?
 
Sasa jamani ukizingatia kihistoria hii concept ya one man one woman ni idea mupya sana, hata mbeleni nyumba ndogo ilikuwa kitu cha kawaida sana ukirudi nyuma miaka 100 hivi. Mimi binafsi nahisi wale mawife wanaotaka "faithful husband" wamepata man wa ukweli, wale ambao hawamind kushare bado wako nje wanaangalia ndani. Mimi sioni kosa ukiwa na more than one wife iwapo unawatake care alafu una nguvu tosha kisaikolojia, financially na physicaly kumudu kazi hiyo. Tafadhali tofautisha na man anaetembea na different woman kila weekend hiyo ni noumer.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom