Wanaume waliotaka kunioa nikakataa hawa hapa

Wanaume waliotaka kunioa nikakataa hawa hapa

Ulishindwa kufanya usafi ulipoona nyumba ni chafu nguo ni chafu unakimbilia kuleta stori za juma na uledi wanawake bwana yani Ulishindwa kujiongoza ,ukiolewa kama nyumba ni chafu unakimbilia kwenu?
 
Nadhani walosema "SI kila king'aacho ni dhahabu,vingine bati kutu" walikua wanamlenga huyo rafiki wa boss[emoji23][emoji23] papuchi ikapona mdomo na mtindi vikafanyajeee.?[emoji85][emoji125][emoji125][emoji125]
 
AYA YA SIKU

Na tuchunguze njia zetu na kuzijaribu, Na kumrudia Mungu tena.

Maombolezo 3:40
 
Nazipenda sana thread zako ila huwa nikikutana na neno "Jomoni" yaani mzuka unakata kabisa na naishia hapo hapo.Nimeona niseme tu maana story zako huwa zinanivutia na natamani kusoma hadi mwisho.
 
Nazipenda sana thread zako ila huwa nikikutana na neno "Jomoni" yaani mzuka unakata kabisa na naishia hapo hapo.Nimeona niseme tu maana story zako huwa zinanivutia na natamani kusoma hadi mwisho.
cha ajabu kuna wanaume wanasemaga jomoni[emoji3] [emoji3]
 
Sasa upo tayari kuolewa?

Unataka mwanaume wa aina gani?

Pamoja na kuwa lazima mtu aangalie nani anataka kuishi nae, ila waonekana unachagua sana.
 
Back
Top Bottom