Wanaume waliotaka kunioa nikakataa hawa hapa

Wanaume waliotaka kunioa nikakataa hawa hapa

Hahaha sawa mkuu labda mimi sikuelewa ila kama ulikuwa unamuimbisha hivi ,mara akuambie atakuja na ID ila wewe ukakomaa hata akija na ID nyingine utamjua tu

Besides najua ni kuchangamsha tu jukwaa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hapana mkuuu....niliambiwa na lugha mbaya sijui kubembeleza ,ndomaana siku izi sitaki nimkoseee mtu humu ,najitahidi kunena Yale wanayopenda !!.

Hapa nistory tuuu ,,kula ninyumban kwako !!.
 
Back
Top Bottom