Mr Kaptenovela
JF-Expert Member
- Jan 2, 2018
- 621
- 618
Wanaurudisha muda c mrefu....,Umeme umekata bns
Wanaurudisha muda c mrefu....,Umeme umekata bns
Kumbe ndo zakeWewe jamaa Ms lincolin kama sijakosea ulikuwa unampiga sound hili hili
Huoni utapeperusha ndege ?
Mmh rich niga kauzu balaa
Nilikuwa sijaiwasha mdaDuh!
Hiyo laptop haina chaji? Au betri yake ishakufa?
Let rich nigga step in and buy you a new one....laptop that is...
Hameni dar......,Hivi ni jiji lote au mana mpaka kwetu
Mkuuu sound huwa haipigwi hadharani ,, sound inapigwa PM ..hapa majukwaan tunachangamsha majukwaaa.Wewe jamaa Ms lincolin kama sijakosea ulikuwa unampiga sound hili hili
Huoni utapeperusha ndege ?
Hyo laptp ndo zile ukichomoa waya wa adopter inazima,haya bas tumia sim,..tuko,seriousLaptop imezima
Wachafu utawajua tu.Sasa kuumizwa na usafi vinahusiana nini Mkuu!!
Namm nmekuelewa bila shaka ukajisemea moyoniiii *Ayaaaaaaa huyu chief nn iki [emoji23] [emoji23] [emoji23] *.. Aaaahh kuchangamsha majukwaa tuu Chief Wangu !!.hahaha ndio maana huko kwingine sijakupa Like nimeassume sijaona [emoji23]
asante kwa salamu, nakusabai pia..
Christmass lunch nilikula samak samak pale,wakat nmekaa nkaona jidada 1 limekaa pale yaan akil iliyonijia ya kwanza,nkasema huyu lazma atakua miss natafta...hahaha,sjui kwann,..alipiga shades moja hatar na dreadlocks,ila alikua na pasi moja hatar,ila lina sura nzur
Ewaaaaaaaaaa usifanye nikajikuta navitaji mabegi ya nguo yako ndani mwangu !!!.Heehhehheh[emoji108] [emoji108] ntavaa mtandio wa zanzibari tuu bae[emoji2]
kabisa chief [emoji1][emoji1]Namm nmekuelewa bila shaka ukajisemea moyoniiii *Ayaaaaaaa huyu chief nn iki [emoji23] [emoji23] [emoji23] *.. Aaaahh kuchangamsha majukwaa tuu Chief Wangu !!.
Simu siezi andika maneno mengiHyo laptp ndo zile ukichomoa waya wa adopter inazima,haya bas tumia sim,..tuko,serious
Hakika , asante kwa neno lako zito la Busara !! [emoji109] [emoji120]kabisa chief [emoji1][emoji1]
take care aisee, mima asije leta uzi MMU kuomba ushauriii [emoji20][emoji20]
Eti nani ana pasi Mkuu ? sura hata mbuzi anayoHakuwa Miss Natafuta huyo.
Hahaha sawa mkuu labda mimi sikuelewa ila kama ulikuwa unamuimbisha hivi ,mara akuambie atakuja na ID ila wewe ukakomaa hata akija na ID nyingine utamjua tuMkuuu sound huwa haipigwi hadharani ,, sound inapigwa PM ..hapa majukwaan tunachangamsha majukwaaa.
Sasa nitapiga sound wangapi mkuuu ????