Wanaume waliotaka kunioa nikakataa hawa hapa

Wanaume waliotaka kunioa nikakataa hawa hapa

Eti huyu nae anakesha apewe mume bora..rubbish head
 
Somehow I must worry about you ingawa hupendi sana kuniona ivo !!
aa851f4922e9e54d2c85140c7a1cc9f2.jpg
thiunajua Ulichokibeba behind ? Hata mtoto anakaaa bila kumfunga !! Looohhh Wacha niendeleee kukuita My Bun Butt !!.
We navimitego vyako vya cartoon lazima ajae tuu
 
Kuna jamaa mmoja humu jf anamzimia sana miss, lakini huwa ananiambia kwamba..... miss ni sawa na saa mbovu, maana hachelewi kuja kuanzisha uzi humu....[emoji12] [emoji12] [emoji12]
Sipendi kuzungumzia watu...
Ila huyo mwanamke muone hivyo hivyo, yupo vizuri sana... Ana wa actia tu hapa...

Usiniulize nimejuaje...


Cc: mahondaw
 
Back
Top Bottom