Wanaume waliotaka kunioa nikakataa hawa hapa

Wanaume waliotaka kunioa nikakataa hawa hapa

Sasa upo tayari kuolewa?

Unataka mwanaume wa aina gani?

Pamoja na kuwa lazima mtu aangalie nani anataka kuishi nae, ila waonekana unachagua sana.
Wala sichagui Sana mkuu
 
Doh wakati nasoma huko juu nikaanza kuandaa mistari ya kukulaum,ila kufika uku mwisho naona ushirikina tena nakuunga mikono yote miwil na miguu ukitaka[emoji23]
Ningekulaumu kwa kua mi hao wachafu ndo nawapendaga,mana najua ntafanya juhud za kumbadlisha mpk apo kwake pawe km ni palace ndogo[emoji23]hata tukija kuachana atakua ananikumbuka kwa mengi,ila ukikutana na mwanaume msafi,anadeki nyumba fresh,anafua,anapika na kukaanga rosti la maana doh hawa bana huaga wana vidharau flani iv
Vidharau vipi kwani tn. Hahaha.
Wanaume tunaamini always wanawake ndio wasafi.. Tukikutana na tunayemzidi tunashangaa alitokea wapi..huyo.sio dharau
 
Hawa mi siwawezi,ukipika anakwambia chumvi nyingi,ukideki anasema hujakausha vizur,ukifua atakwambia mbona hii nguo haijatakata,kanda chapati sasa,atakwambia chapati zako ngumu,af hazijachambuka[emoji23]utasema ulikua unakanda wali sasa[emoji23]
Natakaga jitu rafu nilibadilishe apo ndo napojizolea sifa ya uwaifu matilio
🙂 chapati hazichambuka... Mbn unatupa maneno magumu hahaha!
 
Bf wangu, sikupenda elimu yake, cheo chake,etc Bali nilipenfa usafi wake maana mm ni msafiiii tena msafi haswaaa, sipendagi uchafu chumbani kwangu sinaga shuka la Maya au la ranging ni full white, mmme mchafu kwangu mwiko.

Ushauri: dia hao wote hawakufai tuna mmoja mungu atamletaaaaa
 
Yule wa kwanza umeficha tu ila papuchi aliikamua usiku huo, sema nawewe umetunza siri kama ulivyotunza ya jamaa muathirika
 
Ndio maana nilikushindwa, ulitupanga foleni unatupima!
 
Back
Top Bottom