Wewe ni shoga?unapiga stori gani na wakwe?.....acha ujuha
kweli kabisa hao ni wakuchapwa vibokoKama hamna tatizo au sherehe siwezi kwenda ukweni zaidi ys siku 1 na sijawahi kulala ukweni nashangaa sana ndugu zangu waliooa migombani wanavyoenda Xmas na mwaka mpya ukweni! Kuna wanaume wanastahili viboko
[emoji16][emoji16][emoji16]mumeo anataka kujiachia akiwa maliwatoni, ukiwa na wakwe kila kitu kujibana[emoji16][emoji16]Mume wangu halalagi kwa sababu anawaza muda wa kwenda haja kubwa itakuwaje? Hahha huwa nacheka sana akiniambia hivyo.
Nimeipenda hii,unamuacha anachepuka na wale waliombikiri pamoja na majirani waliokua wanamgegeda kipindi haujamuoa.Muda wote huo unafanya nn mwanaume??Salimia nenda kwenu mwache mke hapo..awe huru...afurahi maisha na ndugu zake...
Wanaume wengine hawapendi kwenda kwao .Je walazimishwe ?Acha sie wamama twende kwetu kuhesabiwa.Happy 2018!!
Nina swali dogo lakini laweza kuwa muhimu, hasa kwa jamaa zangu wa kiumeni waliopo ndoani. Fikiria ni holiday time, wale ndugu zangu wenye desturi ya kurejea kwao/kwa wazazi wanajiandaa kwenda kufurahi na ndugu, marafiki na majirani.
Wakati huo mke anakwambia "hubby naomba likizo/sikukuu hii tuitumie kwa wazazi wangu", tuseme kuanzia tar. 20 Dec hadi tar. 7 Jan. Nawe mwanaume unakubali kwa sababu ni ukweli kuwa wazazi wa mke ni wazazi wako pia.
Swali langu hapa;
*Je utaweza kukaa kwa wakwe kuanzia 20th hadi 7th?
*Ni sahihi (kwa mtizamo wako) kukaa kwa wakwe kwa mda mrefu kama wiki na zaidi?
*Mila zetu zinasemaje kuhusu mwanaume 'kupiga kambi' ukweni?
Again, happy 2018 MMU family.
Mualike mama Mkwe kwako, alafu urudi saa5 usiku... Atajua kuwa ile siku uliporudi SAA 2 uliwaheshimu sana.Kuna siku nilienda ukweni na wife nikatoka kidogo mtaani saa mbili tu mama mkwe aka mind eti nimechelewa kurudi nilikuwa wapi? Mm sikusema kitu nilikaa kimya baadae nikaasikia eti huyu mwanaume jeuri halafu ana dharau sijarudi tena ukweni mpaka leo
Kiwicho basi neweNiliambiwa 'ny kiwicho' kulala kwa wakwe!
Sio rahisi kiasi hicho BT, ndio maana tunalipa mahari, life would have been so easy kama kila kitu tungekichukulia kirahisi tu.
Wewe ni shoga?
Wewe ni shoga?kama wewe.......utakaaje ukweni?
Naona umejichanganya mwenyewe NANDERA, huku unasema 'why not', huku unafanya reference ya kabila lako ambalo halina utaratibu wa waume zenu 'kuuweka' kwenu kwa mda mrefu.