Roman Empire
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 620
- 1,423
Mimi ukweni sijalala hata kama nimejenga nyumba Mimi, ILO Alina mjadala nitatafuta lodge nilalale Ila ukweni silali hata kwa fimboo labda kuwepo na matatizo tulale wengi bila utaratibu
Unajua hoja yangu wala haipo katika kulala, japo nimejifunza pia kuwa wengi hata kulala usiku mmoja ni taboo, ila nimeuliza kama ni fine kwa mtu kutumia likizo nzima ukweni.Hongereni ...wakuu nyie mmebahatika kuoa kwenye familia ziishio mijini!! Sisi wengine wakwe zetu wako bush lazma tulale make hakuna jinsi...!
Nmeelewa vizuri Mada mkuu!! Kwa ujumla haifai kwa mwanaume kuweka kambi ukweni haijalishi ni kabila gani sis ni waafrika mila zetu zinafananaUnajua hoja yangu wala haipo katika kulala, japo nimejifunza pia kuwa wengi hata kulala usiku mmoja ni taboo, ila nimeuliza kama ni fine kwa mtu kutumia likizo nzima ukweni.
Mkuu nakukumbusha maeneo mengi vijijini lodge hakuna kama sio chache zenye mazingira mabovuMimi ukweni sijalala hata kama nimejenga nyumba Mimi, ILO Alina mjadala nitatafuta lodge nilalale Ila ukweni silali hata kwa fimboo labda kuwepo na matatizo tulale wengi bila utaratibu
[emoji12] [emoji2] [emoji23]Kuna kaugumu fulani hivi, sie tukienda home tunashinda kwa mama ila kulala tunaenda kwa dada, hata mi sijui kwanini.
Umeita wanaume sorry nmekuja kumuwakilisha mwanaume wangu .
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Wachaga wanajidai wamestaarabika na dini lakini ni upuuzih tu. Mama Mkwe anakupiga mzinga direct (macho makavu).
Hukai Bali unapita kusalimia ukilala kwingine...........mi hata kwa bunduki sikai ukweni.............
Duu! Pole sana mkuu - Hilo la kufanyiwa vimbwanga na mke ni tatizo lingine, linahitaji uzi wake aisee😉Mimi hata Aliko olewa Dada angu siwezi hata kumaliza masaa 3,Ukweni ndo kabisaaa manake ukiwa ukweni unakuwa kama mgonjwa yaani simba asiye na kucha wala meno mkeo anakufanyia vimbwanga kumpiga huwezi hata kusonya tu huwezi,ukweni ni kwa kusalimia tuu
Simu inazingua Eli yani natype kwa shida, ikiwa poa ntajibu 😀😀😀Sema tu tukuelewe, watu wanasubiri kama upo na "complicated relationship" wajaze nafasi.
Nimempenda buure! Mambo mengine hayahitaji mila, unajiongeza tu. Sasa yule shemeji yako mkubwa keshaoa kwani jamani. Huyu mama mkwe wako atanifaa sana😀
Hongereni ...wakuu nyie mmebahatika kuoa kwenye familia ziishio mijini!! Sisi wengine wakwe zetu wako bush lazma tulale make hakuna jinsi...!
Daaaaaah! 🙁.Hahhaa kashaoa umechelewa