Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 58,638
- 220,410
Si ndiyo maana nilisema uwe na pesa inafanya maisha yako yawe mazuri sana ukweni.Asi wakumbuka nlivokuwa nacheza darts na babaako? Najua kabisa hapa namshinda ila kwa heshima nakubali kushindwa. Akilipia bill ya bia mi nalipia ya nyama choma ... na nyingine nabeba kuleta nyumbani. Ushasahau mke wangu?
Angalia usinywe mpaka ulewee, kumbuka kuwa uko ukweni,
Usiongee pumba, kama huna point kwa kimya kuwa msikilizaji.
Siyo unaanza kuwaambia baba mkwe na marafiki zake kuwa una ma frustrations yako.