Wanaume walio ndoani na "holiday ukweni"

Wanaume walio ndoani na "holiday ukweni"

Happy 2018!!

Nina swali dogo lakini laweza kuwa muhimu, hasa kwa jamaa zangu wa kiumeni waliopo ndoani. Fikiria ni holiday time, wale ndugu zangu wenye desturi ya kurejea kwao/kwa wazazi wanajiandaa kwenda kufurahi na ndugu, marafiki na majirani.

Wakati huo mke anakwambia "hubby naomba likizo/sikukuu hii tuitumie kwa wazazi wangu", tuseme kuanzia tar. 20 Dec hadi tar. 7 Jan. Nawe mwanaume unakubali kwa sababu ni ukweli kuwa wazazi wa mke ni wazazi wako pia.

Swali langu hapa;
*Je utaweza kukaa kwa wakwe kuanzia 20th hadi 7th?

*Ni sahihi (kwa mtizamo wako) kukaa kwa wakwe kwa mda mrefu kama wiki na zaidi?

*Mila zetu zinasemaje kuhusu mwanaume 'kupiga kambi' ukweni?

Again, happy 2018 MMU family.


Kiualisia, tatizo hapa hakuna. Ila ukioa wale jamaa zetu wapenda sensa unaweza patwa na hasira au hata kujiua kama una DNA ya Kihehe. Ukiwa ukweni kwa jamaa zetu hawa wa sensa (wa kuhesabiwa) kubali kutumiwa kama mtumwa, maana watakuja ndugu wa hajabu hajabu hata mkeo hawajuwi toka azaliwe na kudai kuwa wewe ni shemeji yao na hawakutambui, hivyo uwanunulie pipa la mbege na mbuzi mzima wa kuchoma ili utambulishwe. Mbege hiyo itakuwa inauzwa ama kununuliwa kwa ndugu wa mkeo na mbuzi hivyo hivyo. Kama pipa la mbege ni shilling 20,000, ghafla utaambiwa pipa ni shilling 100,000 na mbuzi hivyo hivyo. Na hii inaweza ikakutokea kila siku maana hawa jamaa ni waharibifu sana wa uchumi wa mtu. Kwa hiyo kama unakusudia kukaa huko uhesabiwe na wewe, basi jihesabie kula hasara za mamilioni huku wewe mwenyewe ukiambulia machungu ya moyo na majuto ya kuoa huko.
 
Sidhani kama kukaa ukweli kwa siku zote hzo ni jambo zuri. Ukweni ni sehemu ya kukaa siku moja mbili ya tatu unaondoka. Imagine wazazi wanapata picha gani pale unapowatakia usiku mwema? wanajua daaah!! jamaa linaenda kumuumiza binti yetu. si picha nzuri kwakweli. Tusikae sana ukweni
Unaanzaje kuduu ukweni[emoji15] , huo ujasiri utaupata wapi kwanza.....
 
Kila nyumba na utaratibu wake.

Kwangu ukweni siwezi kulala hata siku moja wala kushinda zaidi ya two hours kama hamna la msingi kama maongezi ya muhimu,msiba...

ila kila nyumba na taratibu zake nimemsoma eve yeye huwa hawalali kwa mama ila kwa dada hahaha.
 
Kiualisia, tatizo hapa hakuna. Ila ukioa wale jamaa zetu wapenda sensa unaweza patwa na hasira au hata kujiua kama una DNA ya Kihehe. Ukiwa ukweni kwa jamaa zetu hawa wa sensa (wa kuhesabiwa) kubali kutumiwa kama mtumwa, maana watakuja ndugu wa hajabu hajabu hata mkeo hawajuwi toka azaliwe na kudai kuwa wewe ni shemeji yao na hawakutambui, hivyo uwanunulie pipa la mbege na mbuzi mzima wa kuchoma ili utambulishwe. Mbege hiyo itakuwa inauzwa ama kununuliwa kwa ndugu wa mkeo na mbuzi hivyo hivyo. Kama pipa la mbege ni shilling 20,000, ghafla utaambiwa pipa ni shilling 100,000 na mbuzi hivyo hivyo. Na hii inaweza ikakutokea kila siku maana hawa jamaa ni waharibifu sana wa uchumi wa mtu. Kwa hiyo kama unakusudia kukaa huko uhesabiwe na wewe, basi jihesabie kula hasara za mamilioni huku wewe mwenyewe ukiambulia machungu ya moyo na majuto ya kuoa huko.
Mkuu umenena me naona kituo cha polisi
 
Yaani moja ya vitu ambavyo niliapa ni kutolala ukweni even a single day.Siwezi kulala ukweni sababu nakosa uhuru pia kujishtukia lazima kuwepo sasa kuepusha yote haya siwezi kulala
 
Kila nyumba na utaratibu wake.

Kwangu ukweni siwezi kulala hata siku moja wala kushinda zaidi ya two hours kama hamna la msingi kama maongezi ya muhimu,msiba...

ila kila nyumba na taratibu zake nimemsoma eve yeye huwa hawalali kwa mama ila kwa dada hahaha.
Mkuu, only two hours? Kwa hiyo msiba au sherehe huwa unafanyaje?
 
Kiualisia, tatizo hapa hakuna. Ila ukioa wale jamaa zetu wapenda sensa unaweza patwa na hasira au hata kujiua kama una DNA ya Kihehe. Ukiwa ukweni kwa jamaa zetu hawa wa sensa (wa kuhesabiwa) kubali kutumiwa kama mtumwa, maana watakuja ndugu wa hajabu hajabu hata mkeo hawajuwi toka azaliwe na kudai kuwa wewe ni shemeji yao na hawakutambui, hivyo uwanunulie pipa la mbege na mbuzi mzima wa kuchoma ili utambulishwe. Mbege hiyo itakuwa inauzwa ama kununuliwa kwa ndugu wa mkeo na mbuzi hivyo hivyo. Kama pipa la mbege ni shilling 20,000, ghafla utaambiwa pipa ni shilling 100,000 na mbuzi hivyo hivyo. Na hii inaweza ikakutokea kila siku maana hawa jamaa ni waharibifu sana wa uchumi wa mtu. Kwa hiyo kama unakusudia kukaa huko uhesabiwe na wewe, basi jihesabie kula hasara za mamilioni huku wewe mwenyewe ukiambulia machungu ya moyo na majuto ya kuoa huko.
Utatumika endapo huna misimamo na huna budget za familia. Otherwise hakuna mtu wa kutumia zaidi ya nilichopanga kitumike.
 
Mimi hata Aliko olewa Dada angu siwezi hata kumaliza masaa 3,Ukweni ndo kabisaaa manake ukiwa ukweni unakuwa kama mgonjwa yaani simba asiye na kucha wala meno mkeo anakufanyia vimbwanga kumpiga huwezi hata kusonya tu huwezi,ukweni ni kwa kusalimia tuu
Jamaa unawaza kupigana tu.
 
Utatumika endapo huna misimamo na huna budget za familia. Otherwise hakuna mtu wa kutumia zaidi ya nilichopanga kitumike.


True, ila mipango si matumizi when it comes to wazee wa sensa....anything can happen, tumeyaona jamani.
 
Back
Top Bottom