KingYKimsingi hata ke ukipooza sisi wanaume pia huishiwa mvuto, huenda umepooza pia, lakini ukiwa mjanja waweza kumtengeneza mmro na akawa na mvuto kila wakati.
Ukimkuta mwanamke au mwanaume aliyekamilika huyo sio wako ni wa yule aliyemtengeneza na siku zote ataishi sawa na yule aliyemtengeneza. Tengeneza chako kikufae



