Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,976
- 22,409
Hebu usije ukanichomea bure hueleweki wewekwa hiyo unataka kusemaje
Hebu usije ukanichomea bure hueleweki wewekwa hiyo unataka kusemaje
Ndo mimi nikamwambia kaka nakupenda sana ila kama unanipenda kweli ungenivumilia niache kucheza mziki taratibu kwa sababu na mimi najua nakubore sema ndo siwezi kuacha ghafla tuu.
Akiniona nacheza mziki anachanganyikiwa kabisa.
Hutaki lunch?? Basi naomba ntumie mimi nkutumie ya dinnerAsante sana Mkuu.
Hivi kumbe 4G LTE hakasirikagi???Kwa Mara ya kwanza naona umekasirika.
hebu ondoeni hii ujinga basi,
basi naaga byeHivi kumbe mimi sijafanikiwa kukukimbiza bado? Basi ngoja dawa yako iko jikoni inachemka vizuri kabisa nataka ifike pahala kila ukiona comment yangu useme "shikamoo mama" nami niitike "marahaba mwanangu"
Njoo nikufundishe mwenza.
Mwenza na mimi nifundishe maana kama kuni hata hakitikisiki.
And dont ever in your lifetime. At the end of the day, its happiness we are looking for. Period!!!!!!!!I can not compromise my happiness.
Hii tabia ya kurushiana maneno ilianza zamani sana, kila mtu anaona mwenzake ndio kakosea, Sir God kamuuliza Adam, jamaa kamtupia mpira Hawa, Hawa nae kaona isiwe tabu, nyoka ndio katupiwa furushi lote.Wanaume ndo mko na ujinga mwingi sana
Aaah kabisa, hakuna kubembelezana kwa mambo ya kipuuzi wakati kuna mambo ya msingi ya kufanya.hapo sasa wao wakimwaga ugali sisi tunamwaga mboga na maji ya kunawa kabisa halafu tunalala njaa
meonaciao
Mzee baba ile comment yako ulizingua. And I dont know why nimeku-mind kinoma kwa comment ile.Samahani mkuu...ila hapo nilimaanisha neno "dhaifu"
Ex darling umesahau wewe ndio ulisema mwanaume hajishushi? We jinunishe ukitegemea kubembelezwa, maisha mafupi haya kwanini utake kuyafanya yawe magumu kwa mwenzio asiyafurahie? Mwaga mboga namwaga ugali na jiko nafungulia gas itoke yote.Kubembelezana muhimu, tujishusheni maisha yawe matamu. Tukitaka wote tuwe juu maisha ya mahusiano yatakuwa magumu, at the end wote tunapoteza.
Mimi ni nani hata nibishe hapa? Wanaume wengi wangekuwa wanakubali kwamba maovu yapo kwa jinsia zote basi kusingekuwa na mabishano bali maelewano ila ndo kutwa utasikia "wanawake ni wakatili sana hatujui waliongea nini na shetani" utafikiri wanaume ni watakatifu sasa.Hii tabia ya kurushiana maneno ilianza zamani sana, kila mtu anaona mwenzake ndio kakosea, Sir God kamuuliza Adam, jamaa kamtupia mpira Hawa, Hawa nae kaona isiwe tabu, nyoka ndio katupiwa furushi lote.
Nadhani kwa mtu anayejielewa hawezi tu kulaumu kila kitu kwa mwenzake, we live to complement each other. Ukijua hakuna kiumbe perfect, hutapoteza mda wako kulaumu kila saa. Kwanza hakuna binadamu asiye na ujinga...



@Extrovert
Aaah kabisa, hakuna kubembelezana kwa mambo ya kipuuzi wakati kuna mambo ya msingi ya kufanya.