Wanaume wa kichaga

Wanaume wa kichaga

Hii tabia ya kurushiana maneno ilianza zamani sana, kila mtu anaona mwenzake ndio kakosea, Sir God kamuuliza Adam, jamaa kamtupia mpira Hawa, Hawa nae kaona isiwe tabu, nyoka ndio katupiwa furushi lote.

Nadhani kwa mtu anayejielewa hawezi tu kulaumu kila kitu kwa mwenzake, we live to complement each other. Ukijua hakuna kiumbe perfect, hutapoteza mda wako kulaumu kila saa. Kwanza hakuna binadamu asiye na ujinga...
Sasa baba yetu Adam ndio muasisi sisi tunaachaje? Tuendelee tu kulaumiana, kila binadamu ana ujinga ila wenu umezidi.
 
Naona mvua za matusi tu zikimwagwa kwenye huu uzi, dunia ya mtandao haipo salama kabisa.
I am so disappointed. Huu uzi haukutakiwa kuwa hivi, mtu kaleta hoja hayakutakiwa kuanza matusi.

Kama hoja ingejadiliwa na mleta uzi angeulizwa kwa busara tu mpaka tungefikia hitimisho.

Anyway, that's that
 
Ex darling umesahau wewe ndio ulisema mwanaume hajishushi? We jinunishe ukitegemea kubembelezwa, maisha mafupi haya kwanini utake kuyafanya yawe magumu kwa mwenzio asiyafurahie? Mwaga mboga namwaga ugali na jiko nafungulia gas itoke yote.
We ain't trippin'
 
Wanawake tukitaka vile vinavyotupa faraja hatujielewi, ila nyie mkitaka vyote basi ndio mna akili!!!!!!!!!! SMH
Na mna haki haswa ya kutafuta furaha zenu. We need to be fair sometimes, wengine sisi tukiwa hatukuelewi tunakumwaga fasta, sasa iweje nyie ndugu zetu mkitumwaga kama hatujielewi iwe nongwa???
 
Habari wadau wa MMU.
Hivi kuna mtu aliwahi kudate mwanaume wa kichaga akapata its fun being with them?
Niko na huyu mwanaume 2years+ ila amepooza haswaaa, nothing about him is fun. Natafuta tu namana ya kumtoka maana sienjoy kuwa nae.
Kabla yake niliwahi pia kuwa na mwanaume mmoja wa Old Moshi, it was the same. They are not romantic,viburi na hata hawanogi kuwa nao yaani. Hawajachangamka kuanzia sebuleni hadi chumbani wamepooza "kweri kweri".
Nyie mloolewa au mnaodate hawa watu mnawezaje maana mie naona its not my cup of coffee at all.
Kwenye utafutaji kweli wanajitahidi, ila huu upande mwingine wanafanya maisha yanakuwa magumu kweli. Huyu wangu kuna wakati namuangaliaaa hata simmalizi, yes he is handsome ila thats all😤😤

Kuulizia ulizia hapa na pale story zikawa ni hizo hizo tu.
Akina Manka sijui wanayawezaje haya.
Ngoja kwanza tuanzie hapo kwenye "kweri Kweri" yako, it's "kweli kweli" i hope utakuwa unatoka mikoa fulani ilee!! The issue of chagga guys kuwa unromantic isn't something surprising hata mimi nilishapata kadhia hiyo kwa ex-partner wangu. I hope baadhi ya watu sampuli yenu mnakuwa mnakosa wisdom per logic of resoaning behind this matter. Nisingependa kuongelea issue za vyumbani and so forth ila mjue kuwa kila binadamu anapitia malezi tofauti ambayo atayaishi mpaka utu uzima wake na kujifunza atakayopitia katika msururu mzima wa maisha yake kama changamoto kwake hadi umauti. Sasa kama umemkuta kijana wa watu hayuko sawa kwenye kitengo fulani inabidi uwe na msaada kwake kurekebisha hilo na kwake kwako katika vitengo vingine vivyo hivyo. i.e kama kwenye utafutaji uliosifia kutoka upande wake.

I only observe people complain and leave people behind opt to find perfections on the other person which put them later into dilemma, kwahiyo ili usiwe unaruka ruka na wanaume wa kila aina mpaka kuonekana una chachu ya "umalaya/umapepe" n.k by public perceptions na kuacha doa baya in your destiny, it's best mpeane na mwenza wako changamoto za kuelezana ukweli juu ya kero mnazopitia binafsi na kusonga mbele as a blessed couple, na kama hamsikilizani au hamuendani then hayo ni matatizo mengine tena. But it shows kuwa una mchukulia jamaa poa thinking 2 yrs is just a joke to now try to left him eti kisa ni unromantic plus bed issues and small petty things. Je! angekuwa ame cheat/kusaliti as being a major problem kwenye mahusiano ya karne ya leo?? ungekuwa na mtazamo gani kwake au kwa wanaume in general!!. Tena shukuru Mangi kuwa unromantic and he doesn't engaged with more female partners as he have you if it is the truth. SO SPEAK TO YOUR MAN, LADY!

NB; YOU MIGHT LEAVE FOR A FULL MOON WHILE CHASING SHOOTING STAR'S. PLUS IT'S OBVIOUS CHAGGA'S ARE HANDSOME & MANKA'S ARE EXQUISITELY BEAUTIFUL.
 
Kimsingi hata ke ukipooza sisi wanaume pia huishiwa mvuto, huenda umepooza pia, lakini ukiwa mjanja waweza kumtengeneza mmro na akawa na mvuto kila wakati.
Ukimkuta mwanamke au mwanaume aliyekamilika huyo sio wako ni wa yule aliyemtengeneza na siku zote ataishi sawa na yule aliyemtengeneza. Tengeneza chako kikufae
Habari wadau wa MMU.
Hivi kuna mtu aliwahi kudate mwanaume wa kichaga akapata its fun being with them?
Niko na huyu mwanaume 2years+ ila amepooza haswaaa, nothing about him is fun. Natafuta tu namana ya kumtoka maana sienjoy kuwa nae.
Kabla yake niliwahi pia kuwa na mwanaume mmoja wa Old Moshi, it was the same. They are not romantic,viburi na hata hawanogi kuwa nao yaani. Hawajachangamka kuanzia sebuleni hadi chumbani wamepooza "kweri kweri".
Nyie mloolewa au mnaodate hawa watu mnawezaje maana mie naona its not my cup of coffee at all.
Kwenye utafutaji kweli wanajitahidi, ila huu upande mwingine wanafanya maisha yanakuwa magumu kweli. Huyu wangu kuna wakati namuangaliaaa hata simmalizi, yes he is handsome ila thats all

Kuulizia ulizia hapa na pale story zikawa ni hizo hizo tu.
Akina Manka sijui wanayawezaje haya.
 
😀😀😀 Siwezi watetea Hawa kaka zangu nawajua vizuri kwenye mambo ya kupetpet ni zero. Kiufupi jamii ya kichaga ipo hivyo labda maana wanaume pia wanawalalamikia wanawake wa kichaga kunako sita kwa sita ni magogo. By the way mimi ni mchaga lkn najitahidi sio gogo sana
Muwe mnajitahidi kwa kweli🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Kuwa busy kama yeye unaelekea wewe ni mama wa nyumbani, mda mwingi unaangalia bongo movie, kushinda na dela, kwenda saloon, ukiona vipi tafuta wakongo man wapo kibao kinondoni pale kereti lubumbashi bar, asubuhi mpaka jioni wamechomekea wanaimba bolingo tu
 
Mwanaume mpole ni yule ambaye mke wake akifanya makosa anatafuta njia nzuri ya kumrekebisha bila kumfokea wala kumpiga ila sasa nyie watoto wa farao mwee mwee mwee mwee mbombo jilipo
Bibi yangu aliwahi kuniambia kamwe nisije nikampiga mwanamke, nitalaanika. Naheshimu hill na halitotkea kamwe, nikishindwana na wewe nasepa tu
 
Back
Top Bottom