Wanaume wa kichaga

Wanaume wa kichaga

Mimi kuna mmoja alitaka tuachane eti kisa napenda kutembea halafu mbaya zaidi nilikuwa nikimwambia twende tukatembee anakubali tunapuyanga weee kumbe mwenzangu alikuwa hapendi

Siku ya siku akaja kunifungukia eti "wewe mwanamke unapenda sana kuzurura" nikamwambia sasa nisipozurura sasa hivi unataka nizurure nikiwa kwenye ndoa majukumu yamenibana au?

Wakati huo yeye mwenyewe alikuwa anapenda mpira humwambii kitu yaani ni bora akatishe mazungumzo yetu ili akaangalie mpira hata mechi za timu ndogo ndogo tu hizi ambazo hazina mashabiki alikuwa anataka akaangalie na mimi wala nilikuwa sikasiriki

Ila alivyokuja kuniambia eti niache kutembea la sivyo tutaachana kiroho safi tu nikakubali tuachane na siyo kwamba nilikuwa siwezi kuacha kutembea ila nilishaona tu kuwa hana mapenzi na mimi kutokana na sababu zake za kijinga nikajiengua mapema
Ndo mimi nikamwambia kaka nakupenda sana ila kama unanipenda kweli ungenivumilia niache kucheza mziki taratibu kwa sababu na mimi najua nakubore sema ndo siwezi kuacha ghafla tuu.
Akiniona nacheza mziki anachanganyikiwa kabisa.
 
Ndo mimi nikamwambia kaka nakupenda sana ila kama unanipenda kweli ungenivumilia niache kucheza mziki taratibu kwa sababu na mimi najua nakubore sema ndo siwezi kuacha ghafla tuu.
Akiniona nacheza mziki anachanganyikiwa kabisa.
Hahahah yani mziki tu, na Subwoofer nakununulia ile nzuri ucheze nyumbani tu
 
Hivi kumbe mimi sijafanikiwa kukukimbiza bado? Basi ngoja dawa yako iko jikoni inachemka vizuri kabisa nataka ifike pahala kila ukiona comment yangu useme "shikamoo mama" nami niitike "marahaba mwanangu"
Hahahah mie nimeshusha mikono chini, huyu mtoa mada moto wake ni hatari kama mafuta ya ndege

Wacha nikimbize mbawa zangu nimfate mtani wangu wa jadi Marianah
 
Back
Top Bottom