Wanaume wa kichaga

Wanaume wa kichaga

Okay, first and foremost, umeshajiuliza hao wanaolia lia humu ni wanaume au wavulana. Kama haujafahamu, most of these cry baby ni vijana wadogo sana wa level ya advance secondary au aidha wapo chuo wakisoma cheti, diploma au wachache degree. Most of them hata hawajaanza maisha ya kujitegemea na kuwa na majukumu rasmi. So acha kupoteza energy yako kuamini unajua kinachoendelea.

Pili nikujulishe kitu tu kuwa kuwa romantic ni jambo la ku'volunteer kwa mwanaume na ili aendelee basi ni lazima mwanamke amtengenezee mazingira kuwa hivyo na usitegemee awe hivyo by himself.

Ni ngumu sana ukute mwanaume anatafuta pesa na apate muda wa kudeal na drama zako. Anaweza kukufanyia small practices za mahaba kama kukuletea zawadui, kukutoa out, kukupa mchezo mzuri kitandani lakini most of the times ni ngumu kufanya hivyo as iwe muda wote huwa ni ngumu sana....akili inayowaza kutafuta pesa huwa haitapata mida kuwaza mapenzi na ndio maana wanayoyaweza ni hawa mabwana wadogo wasiokuwa na serious business kwenye uchumi.

Kiufupi usiassume kuwa wavulana ni necessary wanaume.......

By the way for serious talk u know my dm..... We can learn more from one another.....
Eti umesema mwanume akiwa anatafuta pesa kupeti peti ni nini?

Je hii inaaply kwa wanawake watafutaji pia au?
 
Nitafute nikuchangamshe, pm. Mikikimikiki inaanzia jikoni mpaka kwa bedi. Njoo upate dozi.
 
Si ungemtafuta huyo unayemtaka kimya kimya, kwani lazima uje kumuanika bwana ako humu?
 
Yoooh. Na huyu mfupi pia.
Nikienda nae sehemu hata mguu sitakiwi kutingisha anaona wivu.
Sasa kisa cha kuachana eti nilicheza mziki nikawa nakata viuno watu wananishangaa.
Alimind kufaaaa. Anasema siwezi kuwa na mwanamke anacheza mziki watu wanamshangaa. Nikamwambia poa ila mi kucheza starehe yangu.
. Wanajishtukia sana hawa watu

Mwenza na mimi nifundishe maana kama kuni hata hakitikisiki.
 
Mimi kuna mmoja alitaka tuachane eti kisa napenda kutembea halafu mbaya zaidi nilikuwa nikimwambia twende tukatembee anakubali tunapuyanga weee kumbe mwenzangu alikuwa hapendi

Siku ya siku akaja kunifungukia eti "wewe mwanamke unapenda sana kuzurura" nikamwambia sasa nisipozurura sasa hivi unataka nizurure nikiwa kwenye ndoa majukumu yamenibana au?

Wakati huo yeye mwenyewe alikuwa anapenda mpira humwambii kitu yaani ni bora akatishe mazungumzo yetu ili akaangalie mpira hata mechi za timu ndogo ndogo tu hizi ambazo hazina mashabiki alikuwa anataka akaangalie na mimi wala nilikuwa sikasiriki

Ila alivyokuja kuniambia eti niache kutembea la sivyo tutaachana kiroho safi tu nikakubali tuachane na siyo kwamba nilikuwa siwezi kuacha kutembea ila nilishaona tu kuwa hana mapenzi na mimi kutokana na sababu zake za kijinga nikajiengua mapema


We tunafanana vitu vingi, kama mbwai na iwe mbwai tu hakuna kubembelezana wala nini.
 
Soma uzi then utapata majibu, so far wanaume wote wa kichaga walochangia wamethibitisha hilo, pia hata wanawake wamethibitisha.
Nimesoma ulichokileta nikakuuliza hilo swali, wewe ukiona mwanaume yupo aina fulani basi itakuwa ni kabila?
Umekulia wapi hadi ukawa na fikra kama hizo?
 
Wakati starehe zao sisi tukiongea wanadai wanawake tuna gubu, labda watu walivyokushangaa akajipima akaona anapwaya kuwa na wewe maana kwa kujistukia hawajambo.
Yoooh. Na huyu mfupi pia.
Nikienda nae sehemu hata mguu sitakiwi kutingisha anaona wivu.
Sasa kisa cha kuachana eti nilicheza mziki nikawa nakata viuno watu wananishangaa.
Alimind kufaaaa. Anasema siwezi kuwa na mwanamke anacheza mziki watu wanamshangaa. Nikamwambia poa ila mi kucheza starehe yangu.
. Wanajishtukia sana hawa watu
 
Back
Top Bottom