Ikitokea unajua mwanamke alizaa na mtu mwingine na wewe ukamuoa na ukalea mtoto mzazi wake akija hakuna shida kwangu mimi,ila aje nyumbani kwangu sio amuite kwake yeye waende na motto,hata hyo jirani yako lingemshinda!Habarini wanaJF.
Niende kwenye mada bila kuchelewesha muda, ni hivi kuna jirani yangu ambaye kabla ya kuolewa na mume aliye naye alikuwa tayari amezaa mtoto anayeitwa Mary na bwana mwingine.
Jana baba yake Mary akaja nyumbani kwa mzazi mwenzie kumuona mwanae.
Mume wa ndoa wa huyu mama alikuwepo home, pia mama Mary alikuwepo.
Mama Mary na mumewe wa ndoa walimpokea kwa bashaha Baba Mary.
Walikaa pamoja, yaani mume wa Mama Mary wa sasa ambaye wamefunga ndoa, Huyo mzazi mwenzie mama Mary ambaye ndie baba Mary halisi, Mary mwenyewe na Mama Mary walikuwa wanaongea na kucheka kwa furaha.
Baadaye mgeni wao (mzazi mwenzie mama Mary) aliaga na wote kwa pamoja akiwemo mume wa ndoa wa mama Mary walimsindikiza na kuagana kwa furaha.
Majirani wambeya wambeya tulikuwa tunachungulia tu na kufurahia amani iliyokuwa imetawala eneo lile na hasa kuona jinsi mume wa ndoa wa huyu mama alivyokuwa hana wivu, ni MNYAKYUSA na mama Mary ni Mzaramo, Baba Mary halisi ni Msukuma
Nawasilisha
hahahahahahahahahah. hasa mimi nilisimamisha shughuli zangu zote nikawa nachungulia tu hilo jambo hahahahahahahaahahhahahhahh mlikua wapole kama mmemwagiwa maji ya baridi
misstrace, humu duniani tuko mchanganyiko, uko wewe mstaarabu,niko mie hapa shambenga basi yaani ni mchanyato wa kila tabiaMnaacha kabisa shughuri zenu mko bize kuchungulia nyumba za watu, kuna binadamu waajabu mkimaliza kufanya umbeya mnalalamika maisha magumu wakati kutwa pua zenu mumezitegesha nyumba za watu.
alaaa kumbe!Ikitokea unajua mwanamke alizaa na mtu mwingine na wewe ukamuoa na ukalea mtoto mzazi wake akija hakuna shida kwangu mimi,ila aje nyumbani kwangu sio amuite kwake yeye waende na motto,hata hyo jirani yako lingemshinda!
waungwana bwana,bado asingemsindikiza ndio wangesema kabisa kuwa Mama Marry na mtaliki wake wamekumbushia enzi zaoHakuna tatizo hapo, hiyo inaonesha ukomavu wa akili, upendo na heshima kwa wote. Lazima tukubali historia zilizopita za wapenzi/wana ndoa wenzetu. Sio kila jambo ni la kutilia mashaka ili mradi kila mmoja ana nia njema.
Ila sikuona sababu ya wewe kutaja makabila ya wahusika. Tukio unalolielezea halina uhusiano na makabila yao. Laweza kutoa kwa mtu wa kabila lolote au lisitokee.
Assignment uliyonipa nitaifanyia kazi!!!Makabila yao ya Kinyakyusa, Kizaramo na Kisukuma yaliweza kutengeneza ' Chemistry ' nzuri ya ' amani ' sasa kwa moyo wako huo huo wa ' ufukunyuku ' Mkuu hebu tusaidie kuangaza angaza huko na kule tukio kama hilo la Watu wenye makabila ya Kikurya, Kimasai na Wahehe ili tujue kama na wao hii ' Chemistry ' yao italeta ' ushirikiano ' wa kutukuka.
tehe tehe tehe tehewaungwana bwana,bado asingemsindikiza ndio wangesema kabisa kuwa Mama Marry na mtaliki wake wamekumbushia enzi zao
Hakuna namna ukitanguliwa na mwanaume mwenzio inabidi uwe mpole. Ila Chikila wewe mbona kwa umbea umeshindikana(in Mondray sound)
It's seem we luv each other,eehh, ukuje Pm tuyajenge bibiehahha huu uzi nilitaka niku tag bushland ila mtandao ukawa una mweka mweka bora umekuja mwenyewe ahahahahahah
habari ndio hapoooooooo
Asante ticha umeeleweka,= Chikira
hatar uswahilini nako raha,mambo huwa yanaenda vile watu fulani wanataka yaendetehe tehe tehe tehe
kwaiyo tufanyeje sasa.ila huna taste yangu maaana mimi mtamu balaa
mkuu utasahihisshwa tena,maana hiyo ticha atakwambia mwalimuAsante ticha umeeleweka,
Ahsante dada Faiza= Chikira
Au mwende kwa mkemia mkuu wa serikali hahahahaahahhahahahNgoja nikae kikao na shemeji yangu CHIKIRA MTABARI anipe mwongozo tufanyaje, maana inabidi tufanye kutestiana taste zetu.
Au mwende kwa mkemia mkuu wa serikali hahahahaahahhahahah
Jitahidi unapomsahihisha mtu/watu uwe umesoma na kuelewa vizuri.= Chikira
Nmeshindwa kusoma hapo juu tatizo unacharaza sana kama Dr. Adams faida.
Mondray si alikuwa anakuita Chikila[emoji16]
Nimeamka Salama tunashukuru kwa uhai
Jitahidi unapomshukuru au kumpongeza mtu/watu uelewe alichokufanyia au alichokifanyaAhsante dada Faiza
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]misstrace, humu duniani tuko mchanganyiko, uko wewe mstaarabu,niko mie hapa shambenga basi yaani ni mchanyato wa kila tabia