chundaji
JF-Expert Member
- Feb 10, 2017
- 491
- 339
saawaa mkuu pesa ni nomamkuu hapa naongea ukweli tu mkuu
saawaa mkuu pesa ni nomamkuu hapa naongea ukweli tu mkuu
ohooooooooooooooooooooooo!!!!Sahihi kabisa.
inanunua utusaawaa mkuu pesa ni noma
ni wa ukweli kabisa kutoka KyelaMnyakyusa wa bandia huyo..................
ohooooooooooooooooooooooo!!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ih
Oooo ohoooo
ni kwel mkuu inaweza badili maji ya bahari yakawa na sukari......tumuachie kaisar vilivyo vyakeinanunua utu
Hapana hao wanaondoa wana pesa nzuri tu ya kununua debe la unga, una nyumba yao nzuri, usafiri, sio watu wa kulia lia kama mimi, hahahahahkama wanaishi kwa child support wafanyeje sasa lazima msukuma apokelewe kwa bashasha.
msukuma analipa bill zote hapo
hata kama hela haitoshagi baba mery atakuwa anatoa allowance ya kueleweka hapoHapana hao wanaondoa wana pesa nzuri tu ya kununua debe la unga, una nyumba yao nzuri, usafiri, sio watu wa kulia lia kama mimi, hahahahah
Aisee, umenipa somo Perpendicular ahsanteUmewahi kuona mwanaume anamchukia mtoto wa baba mwingine ila mwanamke sasa.
Always mwanaume ufanya vitu ambavyo mtoto hata wa baba mwingine kila wakati awe na furaha. Ndio maana umeona hana kinyongo na mtu for sake ya marry.
hahahah labdahata kama hela haitoshagi baba mery atakuwa anatoa allowance ya kueleweka hapo
hahahah labdahata kama hela haitoshagi baba mery atakuwa anatoa allowance ya kueleweka hapo
Basi wenzie walikaa kama familia moja bustanini wakawa wanaongea na kufurahi na hata mwishowe wakamsindikiza mgeni wote na kuagana kwa furaha, hahahahahahahahah WaterlooAisee wakutanie huko huko siyo kwangu.staki mazoea kabisa
[emoji23][emoji23][emoji23]Si ndio maana nikasema hivi majirani wambeya wambeya tulifurahia amani iliyokuwa imetawala eneo lile😉😉
kama wanaishi kwa child support wafanyeje sasa lazima msukuma apokelewe kwa bashasha.
msukuma analipa bill zote hapo
Habarini wanaJF.
Niende kwenye mada bila kuchelewesha muda, ni hivi kuna jirani yangu ambaye kabla ya kuolewa na mume aliye naye alikuwa tayari amezaa mtoto anayeitwa Mary na bwana mwingine.
Jana baba yake Mary akaja nyumbani kwa mzazi mwenzie kumuona mwanae.
Mume wa ndoa wa huyu mama alikuwepo home, pia mama Mary alikuwepo.
Mama Mary na mumewe wa ndoa walimpokea kwa bashaha Baba Mary.
Walikaa pamoja, yaani mume wa Mama Mary wa sasa ambaye wamefunga ndoa, Huyo mzazi mwenzie mama Mary ambaye ndie baba Mary halisi, Mary mwenyewe na Mama Mary walikuwa wanaongea na kucheka kwa furaha.
Baadaye mgeni wao (mzazi mwenzie mama Mary) aliaga na wote kwa pamoja akiwemo mume wa ndoa wa mama Mary walimsindikiza na kuagana kwa furaha.
Majirani wambeya wambeya tulikuwa tunachungulia tu na kufurahia amani iliyokuwa imetawala eneo lile na hasa kuona jinsi mume wa ndoa wa huyu mama alivyokuwa hana wivu, ni MNYAKYUSA na mama Mary ni Mzaramo, Baba Mary halisi ni Msukuma
Nawasilisha
kwaiyo tufanyeje sasa.ila huna taste yangu maaana mimi mtamu balaaMiss umeandaka kitu nilichokuwa nataka kukiandika, exactly my point.
Ndiyo maana kila siku nakwambia we have the same taste.
hahaah Shunie I wish ungeniona nilivyokuwa nachungulia kila hatua hahahahahahaahahah, Umbea bwana ama kweli hauna posho hahahaha[emoji23][emoji23][emoji23]
ahhahahhahh mlikua wapole kama mmemwagiwa maji ya baridihahaah Shunie I wish ungeniona nilivyokuwa nachungulia kila hatua hahahahahahaahahah, Umbea bwana ama kweli hauna posho hahahaha
heeeeeeeeeeeeee shemeji yangu, umesemaaaaaa..... mna ladha sawa na Miss Natafuta, hahahahahahakwaiyo tufanyeje sasa.ila huna taste yangu maaana mimi mtamu balaa