Matunzo 02
JF-Expert Member
- Jul 7, 2026
- 913
- 1,838
Huruma siyo malezi
1.unamlea mtoto au wew ndo unaendeshwa na mtoto? Unamlea siyo kwa misingi ya dunia unafanya vitu ili upendwe na mtoto mwisho wa siku anakudharau hata kama nikifanya hivi baba/mama hawezi kunifanya chochote.
2.mtoto anajilea mwenyewe kama kila analofanya kwako ni safi tu akitukana safi tu dunia ina misingi yake huwezi kupaa kama ww sio ndege, ety uruke juu usiludi chini?
3.mara zote anapendwa mzazi mwenye misimamo ambaye hataki ujinga hata asipopendwa ataheshimika.
Kumbuka heshima = upendo
4.sina maana tuwe watu wabaya kwa watoto wetu bali tuwafunze kuishi kwa maadili mema ya utu
Wahenga walimaliza ASIYEFUNZWA NA MAMAYE HUFUNZWA NA ULIMWENGU.
1.unamlea mtoto au wew ndo unaendeshwa na mtoto? Unamlea siyo kwa misingi ya dunia unafanya vitu ili upendwe na mtoto mwisho wa siku anakudharau hata kama nikifanya hivi baba/mama hawezi kunifanya chochote.
2.mtoto anajilea mwenyewe kama kila analofanya kwako ni safi tu akitukana safi tu dunia ina misingi yake huwezi kupaa kama ww sio ndege, ety uruke juu usiludi chini?
3.mara zote anapendwa mzazi mwenye misimamo ambaye hataki ujinga hata asipopendwa ataheshimika.
Kumbuka heshima = upendo
4.sina maana tuwe watu wabaya kwa watoto wetu bali tuwafunze kuishi kwa maadili mema ya utu
Wahenga walimaliza ASIYEFUNZWA NA MAMAYE HUFUNZWA NA ULIMWENGU.