- Thread starter
- #21
Mada ni heading kuwa wewe unaweza kufanya kama alivyofanya huyooooo?!Dah nimeshindwa hata kuelewa kabisa lengo la mada hii
Mada ni heading kuwa wewe unaweza kufanya kama alivyofanya huyooooo?!Dah nimeshindwa hata kuelewa kabisa lengo la mada hii
aiseeee!!Hapo hakuna haja yakuwa na wivu kwa sababu yeye ndie wa kwanza kumjua mkeo kabla yako.
pesa mama pesa mchawi ndiyo maana namtafuta kwa udi na uvumbammmmmmmmmmmmmmmh! eti eeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Ahsante kushukuru SumuAhsante kwa taarifa.
hahahahahahahaha tehe tehe tehe kwikwikwikwipesa mama pesa mchawi ndiyo maana namtafuta kwa udi na uvumba
hapo sasa nimekupata mkuu..Mada ni heading kuwa wewe unaweza kufanya kama alivyofanya huyooooo?!
Umesema kweli Nyoka_mzeehapo sasa nimekupata mkuu..
Kila mtu na moyo wake ,maana unaloweza vumilia ww huwenda mie nisiweze na ninaloweza mie ww usiweze maisha yako hivyo
weeee! zamani sio sasa. sasa nimeoa sitaki mawasiliano yao kwangu...Hapo hakuna haja yakuwa na wivu kwa sababu yeye ndie wa kwanza kumjua mkeo kabla yako.
huyu mwanamke kwa pesaa duuuuupesa mama pesa mchawi ndiyo maana namtafuta kwa udi na uvumba
mkuu hapa naongea ukweli tu mkuuhuyu mwanamke kwa pesaa duuuuu
Sahihi kabisa.Umewahi kuona mwanaume anamchukia mtoto wa baba mwingine ila mwanamke sasa.
Always mwanaume ufanya vitu ambavyo mtoto hata wa baba mwingine kila wakati awe na furaha. Ndio maana umeona hana kinyongo na mtu for sake ya marry.
Oooo ohooooSahihi kabisa.
ahahahhahhah, myoyambendi yaani ungewaona walivyokuwa wanaongea na kufurahi kwa pamoja labda ungerudisha moyo ahahahahahweeee! zamani sio sasa. sasa nimeoa sitaki mawasiliano yao kwangu...
hahha huu uzi nilitaka niku tag bushland ila mtandao ukawa una mweka mweka bora umekuja mwenyewe ahahahahahahIh
Oooo ohoooo
sio mimi hahahahah, ni akina mama Mary hahahahahahaha halafu weweeeeee weweeeeeeeeeeee!!!!!Hao wanaume wote inaonekana wapole Sana, Jana chikira umefurahi kweli Yan