Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,432
- 176,371
Kwa kweli.
ilibidi awe mfilipino jamani.





Kwakweli ili nasi tuenjoy.
Japo Heaven Sent kaamua kujifilipino mwenyewe.
Kwa kweli.
ilibidi awe mfilipino jamani.





Kwavile tabia mbaya ulianza la4 basi unaona sisi wote watoto wenzio eeeh!!
Haki umenishinda tabia![]()




watu mnapenda ukubwa na visauti vyenu vya kitoto.Si ndiyo wanasema raha jipe mwenyewe



Mwe mwe mweeeeh!! Sio za kimasai?watu mnapenda ukubwa na visauti vyenu vya kitoto.



Aaaaaaah wapi.Na utaniamkia kaone kwanza

nitakuja huko ulipo.UnalisomajeHili jina lako sijui kwanini kila nikiliona nalisoma ndivyo sivyo![]()
Umenikumbusha mbali hakii.Mwe mwe mweeeeh!! Sio za kimasai?![]()
La inaanza kabla ya 'ya'.Unalisomaje
Umenikumbusha mbali hakii.
Kichwa chako kina memory card sijui ya GB ngapi.
Hiyo yakwako ni yakitoto aisee. Halafu nzuri ukilinganisha na hili li bezi langu la kichaga.






La inaanza kabla ya 'ya'.
Tuanze kutuma picha zetu halisi sasa..Jiheshimu dogo nifute uzi uliniambia wewe niandike?
Mweeeeh!Kwahiyo unalisoma kama yamaya b
Mweeeeh!
Siyo kwa viroja vile, alikuwa anapenda sifa sana.
Haki alinichekeshaga yule mwehu, apumzike kwa amani.
Aaah wapi weweee mtoto nyororo hivyo!



Mkuu, why are you so bitter? Mimi najivunia sana kuwa mwanamke na sijawahi kujichukia na hayo unayosema usukumani wanafanya asilimia 80 ya wanawake hii Tanzania wanaishi kwenye hayo maisha ni vile tu hatujuani.

