Wanaume wa Dar buana...!

Wanaume wa Dar buana...!

Hv dada shemej kama hauishi mwisho wa route ya daladala do you expect daladala itafika na free seat?? Kwa hapa town?? Anyway labda kwa mchana
Inakuwa imejaa ila sipishi nimetoka kushika chaki nimejichokea. Haki sipishi.
 
Tena wewe wa gongomboto hahah gar zote huwa zimejaa muda wote unless iwe mwisho wa root
Ukiwa kariakoo mida ya kuanzia saa kumi na nusu inabidi uende karume/ machinga complex upande gari ya mnazi mmoja/gerezani ukageuke nalo ndio utakaa. Sasa imagine mtu kageuka na gari ndio akuachie siti huhuhu...
 
Sasa kama wewe mwanamke unaejua ugumu mateso ya kushika mimba na mateso ya kuwa na mtoto mchanga umekaa kimya kikauzu Mwanamke mwenzako anateseka ili hali unajua mateso yake,je Mimi Mwanaume nitapata wapi huo uchungu?????

Hivi mwanamke akishikwa tumbo la bleeding kazini,kati ya mwanaume na mwanamke nani Ni rahisi kumsaidia?Maana kumsaidia mtu Ni lazima angalau ujue hali gani anapitia otherwise utaona drama tu na hutakuwa na uchungu.

Futa uzi wako wa lawama na katu hilo sio jambo la kulalamikia watu kijinsia. Utaonekana wa ajabu tu
 
Ukiwa kariakoo mida ya kuanzia saa kumi na nusu inabidi uende karume/ machinga complex upande gari ya mnazi mmoja/gerezani ukageuke nalo ndio utakaa. Sasa imagine mtu kageuka na gari ndio akuachie siti huhuhu...
Teh mie naangalia na uvaaji. Kuna kama amevaa bila kujistiri tumbo simpishi
 
Sasa my ana mtoto na anaona Gari imejaa afu anataka apishwe seat

Si asubirie ambayo haijajaa ili akae
 
Sasa kama wewe mwanamke unaejua ugumu mateso ya kushika mimba na mateso ya kuwa na mtoto mchanga umekaa kimya kikauzu Mwanamke mwenzako anateseka ili hali unajua mateso yake,je Mimi Mwanaume nitapata wapi huo uchungu?????

Hivi mwanamke akishikwa tumbo la bleeding kazini,kati ya mwanaume na mwanamke nani Ni rahisi kumsaidia?Maana kumsaidia mtu Ni lazima angalau ujue hali gani anapitia otherwise utaona drama tu na hutakuwa na uchungu.

Futa uzi wako wa lawama na katu hilo sio jambo la kulalamikia watu kijinsia. Utaonekana wa ajabu tu
Jiheshimu dogo nifute uzi uliniambia wewe niandike?
 
Back
Top Bottom