Imeandikwa wapi hiyo??Ndiyo tofauti kuumbwa na ya kutengenezwa, MWANAE kaumbwa MWANAMKE katengenezwa.
Imeandikwa wapi hiyo??
Nimeisoma kwako ila wewe ni nani haswa na kwa mamlaka gani uliyopewa hadi useme hivyo? Nipe andiko kutoka kwenye vitabu ya dini linaloonyesha kuwa mwanamume aliumbwa na mwanamke alitengenezwaKwani wewe umeisoma wapi..??
Dini ndiyo mdudu gani...?Nimeisoma kwako ila wewe ni nani haswa na kwa mamlaka gani uliyopewa hadi useme hivyo? Nipe andiko kutoka kwenye vitabu ya dini linaloonyesha kuwa mwanamume aliumbwa na mwanamke alitengenezwa
Kama haujui dini basi hata hiyo sentensi yako ni batiliDini ndiyo mdudu gani...?
Tunachoshana akili tu.Kama haujui dini basi hata hiyo sentensi yako ni batili
Afadhali na wewe umeliona hiloTunachoshana akili tu.
Aya mama natengua kauli angu ila umezunguka Sanaa kwa kifupi wanawake ampendaniNimeomba ushauri gani King na wewe?
Huwa nawapisha sana siyo wanawake tu hata wanaume walionizidi umri ila tu kama sijachoka na sina hela nyingi mfukoni, mbali na hapo sina sababu ya msingi kumpisha yeyote yule kwenye kiti.Habari ya weekend wakuu,
Leo bwana kwenye daladala ya huku kwetu gomz kimetokea kisa kimoja.
Aliingia kwenye daladala mama mwenye mtoto na siti ya mbele kabisa karibu na mlangoni alikaa m'baba kwa kumuangalia anaweza kuwa yupo mid/late 40s.
Natakak tu kukurekebsha cku nyngne uone ty n kitu cha kawaida na c cha kukukera mpk ukitolee povuKama hukuona haja ya uzi basi ilitakiwa usione haja ya kukomenti pia
Unatafuta mkunaji?
