Zamani nilikuwa nawahurumia sana wanawake mie lkn nilicho kinnoti yaani hawana huruma kabisa wao kwa wao , kingine hata ukimpisha hawezi hata kukushukuru kana kwamba ilikuwa wajibu wako kumpisha
Kingine hasa hawa wenye watoto wanambwembwe sana kabla ya kufika stendi mtoto yuko mgongoni akitaka kuingia kwenye gari anamshusha anambeba mikononi ndiyo anakuwa anahangaika tu na mtoto kumbe ni mbwembwe ili ahurumiwe apewe siti
Mie thubutu nikikaa nampisha mgonjwa na mzee tu tena anayepanda kw bahati mbaya
Siyo gari ipo kituoni anaona imejaa kabisa harafu anapanda daah atasimama tu haina kulemba
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.