wewe unapima umri kwa sauti umechelewa sana



basi nitakuwa nipo nyuma sana.wewe unapima umri kwa sauti umechelewa sana



basi nitakuwa nipo nyuma sana.Siyo kwa viroja vile, alikuwa anapenda sifa sana.
Hadi nimemiss jamani. Angekuwepo angeshatoa mpya tena.
May his soul continue to rest in peace!!






Sawa nikipanda daladala nashukia wapi?Haha hebu njoo, kama hujanikimbia
Kweli mwenza mbinguni kunatuhusu, hayo mateso alafu uchomwe moto tena kweliHaha eti mtu yuko proud kubeba mziko wa kuni, jembe na mbele ana mimba ya miezi nane...he must be kidding



Unakuta katanguliza devu lake mbele mpaka lina mvi mkewe anahangaika tu na mtoto mchuuuuWanaume wengi wa kiafrika hawana huruma na wanawake,
Unaweza kuta mama kabeba mtoto na anaongozana na mumewe lakini kumsaidia ni shida.
Hata kugombea siti wanavyosukuma wanawake sasa halafu unakuta anashukia kituo cha piliSijakataa kwenye kupendana au kutopendana, shida ni hapo kwenye kuachiana siti
Tena yuko mbele kamuacha mama hatua nyingi tuUnakuta katanguliza devu lake mbele mpaka lina mvi mkewe anahangaika tu na mtoto mchuuuu


Kaka mmoja hivi alikuwa crush wa Atoto.Nani?


ngoja nitafute comment yako kwenye Uzi mwingine nikutajie, ukilike tuu nafuta.Yaani huwa najiuliza huyu mtu vipi.Tena yuko mbele kamuacha mama hatua nyingi tu![]()
, halafu utasikia mke wqngu kawajaza watoto ujinga