Wanaume wa Dar buana...!

Wanaume wa Dar buana...!

Eti na wako proud, hivi wako proud au ni vile tu hawana namna maana waume zao ndio hayo maafurushi
Haha eti mtu yuko proud kubeba mziko wa kuni, jembe na mbele ana mimba ya miezi nane...he must be kidding
 
Haha eti mtu yuko proud kubeba mziko wa kuni, jembe na mbele ana mimba ya miezi nane...he must be kidding
Kweli mwenza mbinguni kunatuhusu, hayo mateso alafu uchomwe moto tena kweli
 
Back
Top Bottom