Wanaume wa Dar bana!

Wanaume wa Dar bana!

Kyenju

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2012
Posts
5,143
Reaction score
2,547
Jamaa yangu wa Dar aniniambia kwa sasa Dar kuna baridi sana kiasi kwamba kama huna water heater inabidi upange foleni ya kuchemsha maji na watoto.
Binafsi sidhani kama Dar es salaam kuna baridi ya namna hiyo.
 
Mwezi wa sita nilikua Dar nikiwa nimetokea Makete nilipokaa kwa miezi 8 na Mafinga kwa miezi 6.

Nikakuta watu wanavaa mpaka masweta. Wakati wanalalamika baridi sikuona haja ya kuanza kusema "Nilipotoka ni balaa hapa cha mtoto"

Sikuona hiyo haja kwakua hiyo ni tabia ya KiTanzania kushindana katika majanga kutaka uonekane umepitia majanga kuliko mwenzako. Lakini pia nina akili timamu za kufanya nijue kwa eneo lenye mpaka 32°C almost kila siku kwao ile ni baridi so haina hata haja ya kuja hadi kuanzisha uzi.
 
Back
Top Bottom