Wanaume, tupeni majibu hapa...

niaminishe kwamba uko tofauti manake with this urgument................
I learned to say sincere sorry long time ago...but I also work hard to minimize the chances of wrong doings because of hating the ordeal of that interrogation of saying sorry. Mara nyingi debate zenu zinaogopesha maana huwa zina mwanzo ila hazina mwisho.
 
mwenzie kivipi wakati wewe ni mpinzani?

Mimi mpinzani au mshika dau mwenzako? Tofautisha hayo mawili tafadhali...unajua bila mwanaume dunia hii inakuwaje halafu unasema sio wenzenu...nataka kulia miye kwa uchungu
 
I learned to say sincere sorry long time ago...but I also work hard to minimize the chances of wrong doings because of hating the ordeal of that interrogation of saying sorry. Mara nyingi debate zenu zinaogopesha maana huwa zina mwanzo ila hazina mwisho.
jamani mbona hata nyie wababa huwa mnakuwa wagumu kukubalai msamaha? huwaga mnakuja na preposition chungu mbovu kila mara mnataka clarification yaani hadi mje mkubali na msamehe jasho linakuwa limetutoka?
 
so womn always ni wagomvi kwa mujibu wa vitabu hvyo?

hiyo nimila tangu enzi za ADAM & EVA hajawai kwenye mahandiko kuona ADAM kamuomba msamaha EVA hiyo ni mila na tamaduni ndio maana mume ndie anaacha mke ahachi bali anatimka au ana hama chumba sababu kubwa hajaobwa msamahaa 2 wame ni Viburi wanawake ni Jeuri Kiburi hua ajibu jeuri hua anaonyesha vitendo kiburi sio rahisi kutoa neno Samahani hua ambilki 2 wewe waleo huwezi badili ilo......na haotopata jibu sahii hapo
 
kuomba msamaha = kukiri kosa = kuonesha udhaifu. wanaume hatutakiwi kuonesha udhaifu hivyo kumuomba msamaha mwanamke ni jambo gumu. pia wengi wanaamini ukifanya hivyo mwanamke atajisifu kwamba 'kakuweka mkononi', so no apology for you gfs
 
kaka mito go into the first post soma nimeuliza je kuna mabaye kwa kufanya hivyo amewah kudharauliwa na mkewe? if yes tupeni ushuhuda manake mwisho wa siku tunataka tukomboke atii

Nimeelewa hilo swali vizuri gfsonwn, ndo maana nikasema binafsi sijawahi ona mabadiliko kwa mwenzi wangu eti baada ya kumuomba msamaha. Ila inaonesha kuna wanaume ambao wameona mabadiliko kwa wenzi wao ndo maana according to Kifulambute anasema baadhi yenu mkiombwa msamaha mnavimba vichwa. Hii inaonyesha yeye ameona hayo mabadiliko. So this was my point
 
Mimi mpinzani au mshika dau mwenzako? Tofautisha hayo mawili tafadhali...unajua bila mwanaume dunia hii inakuwaje halafu unasema sio wenzenu...nataka kulia miye kwa uchungu

Waswahili wanasema undugu wetu na wanume uko kwenye shuka baada ya pale ni habari nyingine
 
Mimi mpinzani au mshika dau mwenzako? Tofautisha hayo mawili tafadhali...unajua bila mwanaume dunia hii inakuwaje halafu unasema sio wenzenu...nataka kulia miye kwa uchungu

yaani bila nyie with this beuty of the world plus that of we females yaani maisha yangekuwa mazuri sana manake God made u uncomplite untill woman was created. so nyie ndo msingeweza but sisi tungedunda vizuri tu na maisha.
 
Mwali usiniangushe! hata mimi sio mwenzako? Sasa nani ni mwenzenu katika dunia hii?
wenzangu ni wanawake. Ninapo sema chama pinzani zio kwa maana mbaya
it means that you love the game as much as we do, and we all want to win
 
kuomba msamaha = kukiri kosa = kuonesha udhaifu. wanaume hatutakiwi kuonesha udhaifu hivyo kumuomba msamaha mwanamke ni jambo gumu. pia wengi wanaamini ukifanya hivyo mwanamke atajisifu kwamba 'kakuweka mkononi', so no apology for you gfs

This is the perception I was trying to explain. Sincerely, it needs time and patience to change this
 
kuomba msamaha = kukiri kosa = kuonesha udhaifu. wanaume hatutakiwi kuonesha udhaifu hivyo kumuomba msamaha mwanamke ni jambo gumu. pia wengi wanaamini ukifanya hivyo mwanamke atajisifu kwamba 'kakuweka mkononi', so no apology for you gfs

lakini Blaine mwanamke akiomba samahan siyo dhaifu?
 
Last edited by a moderator:
jamani mbona hata nyie wababa huwa mnakuwa wagumu kukubalai msamaha? huwaga mnakuja na preposition chungu mbovu kila mara mnataka clarification yaani hadi mje mkubali na msamehe jasho linakuwa limetutoka?

Lakini sio mbaba mimi maana sitaki kufa na presha kufuatilia yasiyo fuatiliwa....ila wanaume wengi wanaogopa mlolongo mrefu wa requirement za kukubaliwa msamaha...ila siku hizi tumeanza kujifunza kwa msaada wa watu wa marekani
 
hapo uenena manake mpaka hapa nakaribia post ya 60 hakuna aliyetoa sababu zaid ya kusema tunawaloga bora hata mito ameonyesha busara zaid ya wote.
Labda nikuulize: wanawake wanapo kataa kukiri ni kwanini?
Uliweka assumption yako ya mwanzo vibaya: ungesema watu
Maana hii tabia ipo kote kote, kwa wanawake kama wanaume
 
wenzangu ni wanawake. Ninapo sema chama pinzani zio kwa maana mbaya
it means that you love the game as much as we do, and we all want to win

teh teh teh...nimekusoma. Kumbe ndo maana mzee wangu alisema mwanamke akisema we kaa kimya maana atakuwa amepata ushindi....sasa siwezi nifanyaje
 
I learned to say sincere sorry long time ago...but I also work hard to minimize the chances of wrong doings because of hating the ordeal of that interrogation of saying sorry. Mara nyingi debate zenu zinaogopesha maana huwa zina mwanzo ila hazina mwisho.

Kabisa kabisa ,wanawake wanaongea jamani,ukimkoroga leo akianza ku rap atakumbushia na hata ulivyomkonyeza matron siku ya harusi,tukio la miaka arobaini iliyopita,kha!
 
Back
Top Bottom