Thanda
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 1,915
- 596
umekuzwa vzr sana.
ila wewe wenzio hawakushanga ama mkeo hakushangai kuskia kwamba unamwomba msamaha??
Kwani nini cha ajabu hapa mama nanihii?Msamaha hauna jinsi......kusema huu ni msamaha wa kike na huu ni wa kiume hiyo kitu hakuna. Masamaha ni UNISEX. Mimi huwa siogopi, naomba halafu nabaki na amani yangu ya kutosha.