BLACKTIGER
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 4,344
- 6,865
Mimi sijui kwanini nakuwaga mgumu kuomba msamaha.sijui!!
Hivi kwanini wenzetu nyie si wepesi hata kidogo wa kukiri makosa yenu na kuomba msamaha? Kwanini mara nyingi huwa mnatafuta means ya kujusfty makosa kuliko kuomba msamaha? je ni ubabe ama ni aibu ama mnahisi kufanya hivyo ni kujishusha hadhi yani kutoka kuwa mwanaume na kuwa mtu mwingine?
je na kwa wale mnaokiri na kuwaangukia wake zenu kwa samahani, je wake zenu wamewahi kubadili heshima yenu ama hata kukudharau?
leo akina mama tukae tuwatupie maswali kwa kila hoja watakazo leta hadi tujue nini ni nini.
nawasilisha.
Toka lini mkubwa akakosea? Jamani, "mtu mzima hajambi"! Hata akijamba watoto (walio kwenye eneo la tukio) ndo wanaotakiwa kuomba msamaha kwa kusikia baba yao namna akijamba!Hivi kwanini wenzetu nyie si wepesi hata kidogo wa kukiri makosa yenu na kuomba msamaha? Kwanini mara nyingi huwa mnatafuta means ya kujusfty makosa kuliko kuomba msamaha? je ni ubabe ama ni aibu ama mnahisi kufanya hivyo ni kujishusha hadhi yani kutoka kuwa mwanaume na kuwa mtu mwingine?
je na kwa wale mnaokiri na kuwaangukia wake zenu kwa samahani, je wake zenu wamewahi kubadili heshima yenu ama hata kukudharau?
leo akina mama tukae tuwatupie maswali kwa kila hoja watakazo leta hadi tujue nini ni nini.
nawasilisha.
Sisi wanaume mara nying tunakuwa hatupendi kushindwa na wanawake,kwani tunachukulia kuwa sisi ni viongoz kwao, na vilevile ni njia moja ya kuonesha kuwa sisi majasiri ambao tunaweza kukabili na matatizo yanayotukabili..
ILA KUOMBA MSAMAA ENDAPO UMEKOSEA KWELI HAIONESHI KUWA WEWE NI DHAIFU BALI NI NJIA MOJA YA KUTATUA MATATIZO.
Nakuunga mkono kwa 101% , yaani unakuta mama yake tangu ameolewa anadundwa kila siku, manyanyaso, analetewa wanawake wengine ndani ya nyumba na hasemi kitu, yaani full manyanyaso, na baba mbabe kishenzi wewe unafikiri ukiingia kwenye hiyo familia huyo mumeo atakuomba msamaha? hawezi kwa sababu baba yake hakuwahi kulifanya hilo."UKITAKA KUJUA TABIA YA MTOTO ANGALIA WAZAZI WAKE UTAJUA "unakuta mtu kalelewa kwenye family ambayo anaona mama siku zote ananyanyaswa, na hajawi kuona baba anaomba samahani hata siku moja. what do expect out of this man!
Mimi sijui kwanini nakuwaga mgumu kuomba msamaha.sijui!!
Afu wewe si unajua nina kesi na wewe?? nitake radhi haraka aka omba msamahaSi kwamba huwa hatuombi msamaha. Mwanaume wa kweli huomba msamaha kwa bosi wake. Na bosi wa Mwanaume ni MUNGU. Nikikukosea napiga magoti mbele ya Mungu kuomba msamaha, si kwako bana. You are my woman, usisahau. My property for God's sake.
CC: Fidel80, Kaizer, @Vmark, Arushaone, Erickb52, Filipo kwa utekelezaji
BCC; gfsonwin, Zion Daughter, BADILI TABIA et el, kwa taarifa na usambazaji wa taarifa.
Afu wewe si unajua nina kesi na wewe?? nitake radhi haraka aka omba msamaha
HeheheeeeSi kwamba huwa hatuombi msamaha. Mwanaume wa kweli huomba msamaha kwa bosi wake. Na bosi wa Mwanaume ni MUNGU. Nikikukosea napiga magoti mbele ya Mungu kuomba msamaha, si kwako bana. You are my woman, usisahau. My property for God's sake.
CC: Fidel80, Kaizer, @Vmark, Arushaone, Erickb52, Filipo kwa utekelezaji
BCC; gfsonwin, Zion Daughter, BADILI TABIA et el, kwa taarifa na usambazaji wa taarifa.
Si kwamba huwa hatuombi msamaha. Mwanaume wa kweli huomba msamaha kwa bosi wake. Na bosi wa Mwanaume ni MUNGU. Nikikukosea napiga magoti mbele ya Mungu kuomba msamaha, si kwako bana. You are my woman, usisahau. My property for God's sake.
CC: Fidel80, Kaizer, @Vmark, Arushaone, Erickb52, Filipo kwa utekelezaji
BCC; gfsonwin, Zion Daughter, BADILI TABIA et el, kwa taarifa na usambazaji wa taarifa.
Heheheeee
copy kwa mwaJ