Wanaume, tupeni majibu hapa...

Wanaume, tupeni majibu hapa...

Halafu wewe Erickb52 na vimacho vyako hivyo vyeupe tutakuja gombana siku moja! Shauri yako! Yaani unani copy kiushabiki kiasi hicho! Nimeichana copy bila kuisoma. Na huyo rafikiyo babu Asprin naona anazeeka vibaya. Eti anaita mwanamke "property" yake! Kwani ni shamba au gari hilo? Khaaaaa!
Heheheeeee mtajibeba meeeeen!
We siunajua Adamu aliambiwa aje atawale kila kilichoko duniani including you mwaJ ! Teh
 
Last edited by a moderator:
Usipite mtaani kwetu! Ushatangaza ugomvi!
Mwaaaaah swthty nisamehe eeeeh
Nitakutafuta badae tukale mautamu eeeeh hadi usahau kama nimekuudhi.
Mwaaaaaaah mwaJ wangu.
 
Last edited by a moderator:
Mwita Maranya, Mwita Maranyaeeeee! Njoo huku muone huyu Erickb52 ananiambia maneno yake ulokataza nisisikilize!
Hivi haka ka Mwita Maranya ni kadawa ka kumung'unya au ka kumeza na maji?
Au ni ka Dr ?
Hebu mwambie asihangaike kuja huku maana b52 sio la kuchezea aisee ntamfyatua kama IRAQ ilivyosambaratika na Sadam wake!
... mwaJ unakuwa kama sidanganyiki aisee hebu usiogope Kaizer atakutunzia siri hii!
 
Last edited by a moderator:
swala ni kwamba naomba msamaha kwa nani,,, kama nu kwa mtu muhimu na inalazimu niombe msamaha nitafanya ivo,,
mfano mama mzazi mlezi au mshua kwa nini nisiombe msamaha?
sasa wewe unataka niombe msamaha kwa kila mtu,, panapohitaji kuomba msamaha tu,,
unajua ninyi mabinti mnapata amani ya moyo,, ati baada ya kuombwa msamaha,, mnapata kichwa
 
"Heri kuishi juu ya paa la nyumba, kuliko kuishi na mwanamke mgomvi"
sehemu ya nukuu toka katika vitabu vitakatifu..[/QUOTE

Awesome and good comment hawa watu ndugu yangu kaazi kweli]

Ukimwachia nafasi kidogo anataka akukalie kichwani,hawaaminiki
 
Halafu wewe Erickb52 na vimacho vyako hivyo vyeupe tutakuja gombana siku moja! Shauri yako! Yaani unani copy kiushabiki kiasi hicho! Nimeichana copy bila kuisoma. Na huyo rafikiyo babu Asprin naona anazeeka vibaya. Eti anaita mwanamke "property" yake! Kwani ni shamba au gari hilo? Khaaaaa!
Narudia tena, mke ni PROPERTY ya Mmewe..... Kama hutaki fanya mpango ukabadilishwe jinsia ili unufaike na huu upendeleo aliotupa Mungu mwenyewe.
 
Narudia tena, mke ni PROPERTY ya Mmewe..... Kama hutaki fanya mpango ukabadilishwe jinsia ili unufaike na huu upendeleo aliotupa Mungu mwenyewe.

mke ni mali ya mume sawa kabisa.

lakini naomba kukuuliza mali hiyo ina haki ama haina haki zake za msingi?? unapotoa jibu kumbuka kwamba hata mbwa ama paka walioko ndani mwako ukiwapiga ama kuwatesa una haki kisheria ya kushtakiwa kwa kosa la kumtesa mnyama.
 
mke ni mali ya mume sawa kabisa.

lakini naomba kukuuliza mali hiyo ina haki ama haina haki zake za msingi?? unapotoa jibu kumbuka kwamba hata mbwa ama paka walioko ndani mwako ukiwapiga ama kuwatesa una haki kisheria ya kushtakiwa kwa kosa la kumtesa mnyama.
Thats my girl. Haya nenda kamweleweshe mwaJ hili fumbo la imani.

Baada ya kusema hayo naomba nikujibu kuwa Mke ana HAKI zake za msingi ndani ya umilikiwaji wake na MMEWE.... Kiuhakika kabisa yeye ni sehemu ya umiliki wake mwenyewe kwa mmewe. Ni waziri Mkuu na Makamu wa Kwanza tena Pekee wa Rais na hapaswi kulinganishwa na viwaziri au vimkuu vya mkoa/wilaya.
 
Last edited by a moderator:
mke ni mali ya mume sawa kabisa.

lakini naomba kukuuliza mali hiyo ina haki ama haina haki zake za msingi?? unapotoa jibu kumbuka kwamba hata mbwa ama paka walioko ndani mwako ukiwapiga ama kuwatesa una haki kisheria ya kushtakiwa kwa kosa la kumtesa mnyama.
We ni mwalimu wa UPE au MMEMKWA?
Achana na hizo sheria za wanyama...hapa ishu ni mwanamke kuwa chini ya mwanaume na kutii anachosema sio vinginevyo.
Najua hata Beijing mlienda ila mnachokitaka mtakipata kutoka kwa mwanaume asiyetumia Dume yan sio Mwanaume wa Kweli.


Copy kwa mwaJ
Asprin
 
Last edited by a moderator:
Thats my girl. Haya nenda kamweleweshe mwaJ hili fumbo la imani.

Baada ya kusema hayo naomba nikujibu kuwa Mke ana HAKI zake za msingi ndani ya umilikiwaji wake na MMEWE.... Kiuhakika kabisa yeye ni sehemu ya umiliki wake mwenyewe kwa mmewe. Ni waziri Mkuu na Makamu wa Kwanza tena Pekee wa Rais na hapaswi kulinganishwa na viwaziri au vimkuu vya mkoa/wilaya.
Babu umeona gfsonwin sometime anatafakari zaidi ya upeo wa mwl wa MMEMKWA
 
Last edited by a moderator:
We ni mwalimu wa UPE au MMEMKWA?
Achana na hizo sheria za wanyama...hapa ishu ni mwanamke kuwa chini ya mwanaume na kutii anachosema sio vinginevyo.
Najua hata Beijing mlienda ila mnachokitaka mtakipata kutoka kwa mwanaume asiyetumia Dume yan sio Mwanaume wa Kweli.


Copy kwa mwaJ
Asprin
Ameshaelewa mkuu.... Kwamba katika kutekeleza majukumu ya kiserikali, Waziri Mkuu haombwi msamaha na Rais.....:shut-mouth::shut-mouth::shut-mouth:
 
Ameshaelewa mkuu.... Kwamba katika kutekeleza majukumu ya kiserikali, Waziri Mkuu haombwi msamaha na Rais.....:shut-mouth::shut-mouth::shut-mouth:
Ukizingatia waziri mkuu anateuliwa na Rais lol
 
Asprin na Erickb52 ni kwasabab mida hii mwenye himaya yake karudi lindoni so inanipasa nimskilize kwanza yeye ila ningewatoa nishai
 
Last edited by a moderator:
Asprin na Erickb52 ni kwasabab mida hii mwenye himaya yake karudi lindoni so inanipasa nimskilize kwanza yeye ila ningewatoa nishai
Sema boss karudi a.k.a presidaa hapo hufurukuti gfsonwin tena bora wako karudi late...wa mwaJ aliwahi huyo lol
Ona si tunasogoa JF na hatuulizwi na mtu ila we gusa JF uone moto wake.

Kutembea imening'inia mbele raha aisee achana na vibandiko lol
 
Last edited by a moderator:
Sema boss karudi a.k.a presidaa hapo hufurukuti gfsonwin tena bora wako karudi late...wa mwaJ aliwahi huyo lol
Ona si tunasogoa JF na hatuulizwi na mtu ila we gusa JF uone moto wake.

Kutembea imening'inia mbele raha aisee achana na vibandiko lol
ahhah! mie huwaga nashinda jf usiku wote na asbh yote.
 
Back
Top Bottom