Wanaume, tupeni majibu hapa...

Wanaume, tupeni majibu hapa...

Ni malezi tu mabovu. Ukitaka kujua hilo jiulize kwanini wazungu shida hiyo hawana au ni very minimal?
 
Hivi kwanini wenzetu nyie si wepesi hata kidogo wa kukiri makosa yenu na kuomba msamaha? Kwanini mara nyingi huwa mnatafuta means ya kujusfty makosa kuliko kuomba msamaha? je ni ubabe ama ni aibu ama mnahisi kufanya hivyo ni kujishusha hadhi yani kutoka kuwa mwanaume na kuwa mtu mwingine?

je na kwa wale mnaokiri na kuwaangukia wake zenu kwa samahani, je wake zenu wamewahi kubadili heshima yenu ama hata kukudharau?

leo akina mama tukae tuwatupie maswali kwa kila hoja watakazo leta hadi tujue nini ni nini.

nawasilisha.
Wako hard looking na wanaleta viburi.
 
are you sure that we have overgeneralized??
c'on go and read it again broda..................

Most certainly.

Read again you ask, I will not only read again, I will quote with a finely toothed comb. And commentary of course.

Umeandika.

Hivi kwanini wenzetu nyie si wepesi hata kidogo wa kukiri makosa yenu na kuomba msamaha? Kwanini mara nyingi huwa mnatafuta means ya kujusfty makosa kuliko kuomba msamaha? je ni ubabe ama ni aibu ama mnahisi kufanya hivyo ni kujishusha hadhi yani kutoka kuwa mwanaume na kuwa mtu mwingine?

je na kwa wale mnaokiri na kuwaangukia wake zenu kwa samahani, je wake zenu wamewahi kubadili heshima yenu ama hata kukudharau?

leo akina mama tukae tuwatupie maswali kwa kila hoja watakazo leta hadi tujue nini ni nini.

nawasilisha.

Hujaeleza "wenzetu" wanaokusudiwa hapa ni wepi.

Hujaeleza umejuaje "wenzetu hawa si wepesi wa kukiri makosa hata kidogo", ama umefanya utafiti au unajisemea tu bila utafiti, la kama umefanya utafiti umetumia njia gani, umetumia control gani, na kama matokeo uliyoyapata yamekuwa peer reviewed au la?

Kama hujafanya utafiti, na unatumia experience ya kijijini kwako tu, walau utuambie tu tuelewe tusije kushadadia mabo ya mipasho ya Ilala Boma kwa standards za high ivory towers za Harvard.

Unasema wenzenu hao wanatafuta "means ya kujustify makosa kuliko kuomba msamaha". Sisemi kwamba hili si kweli, nataka kujua umejuaje hili?

Halafu unajichanganya kabisa kwa kuandika

je na kwa wale mnaokiri na kuwaangukia wake zenu kwa samahani, je wake zenu wamewahi kubadili heshima yenu ama hata kukudharau?

Aalaa,

Wepi ni wepi?

Inaonekana kuna haja ya ku qualify certain generalizations kwa maana inaonekana mada ina mkanganyiko. Kwanza tunaaminishwa wanaume "si wepesi hata kidogo kukiri makosa" halafu tunaambiwa kuna wanaokiri makosa, sasa hawa wanaokiri makosa si wanaume au vipi?
 
Ni huyo huyo wa kwako, kama kakutenda ndo utafute majibu huku? ulimkubali mwenyewe, dada endelea kulinywa!
 
Most certainly.

Read again you ask, I will not only read again, I will quote with a finely toothed comb. And commentary of course.

Umeandika.



Hujaeleza "wenzetu" wanaokusudiwa hapa ni wepi.

Hujaeleza umejuaje "wenzetu hawa si wepesi wa kukiri makosa hata kidogo", ama umefanya utafiti au unajisemea tu bila utafiti, la kama umefanya utafiti umetumia njia gani, umetumia control gani, na kama matokeo uliyoyapata yamekuwa peer reviewed au la?

Kama hujafanya utafiti, na unatumia experience ya kijijini kwako tu, walau utuambie tu tuelewe tusije kushadadia mabo ya mipasho ya Ilala Boma kwa standards za high ivory towers za Harvard.

Unasema wenzenu hao wanatafuta "means ya kujustify makosa kuliko kuomba msamaha". Sisemi kwamba hili si kweli, nataka kujua umejuaje hili?

Halafu unajichanganya kabisa kwa kuandika



Aalaa,

Wepi ni wepi?

Inaonekana kuna haja ya ku qualify certain generalizations kwa maana inaonekana mada ina mkanganyiko. Kwanza tunaaminishwa wanaume "si wepesi hata kidogo kukiri makosa" halafu tunaambiwa kuna wanaokiri makosa, sasa hawa wanaokiri makosa si wanaume au vipi?
i got it from anecdote.
 
Hivi haka ka Mwita Maranya ni kadawa ka kumung'unya au ka kumeza na maji?
Au ni ka Dr ?
Hebu mwambie asihangaike kuja huku maana b52 sio la kuchezea aisee ntamfyatua kama IRAQ ilivyosambaratika na Sadam wake!
... mwaJ unakuwa kama sidanganyiki aisee hebu usiogope Kaizer atakutunzia siri hii!

Najua Mwita Maranya atasikia na kuja kupambana na wewe! Salama yako omba msamaha kwangu. Chezea mkurwa wewe!
 
Last edited by a moderator:
Narudia tena, mke ni PROPERTY ya Mmewe..... Kama hutaki fanya mpango ukabadilishwe jinsia ili unufaike na huu upendeleo aliotupa Mungu mwenyewe.

Sitaki na wala sibadilishi jinsia! I'm a human being not a material thing and therefore, I'm nobody's property!
 
There you go.

Anecdotal, unscientific, whimsical, probably prejudiced, unquantified and unverifiable speculations.

sasa kwani huwa huwez kuzitumia kupata starting poit?? ama kutegeneza benchmark??

what matters is everybody to give his/ her own experience and at last we shall have the true picture. not everything requires scientific evidence, some of things we discuss them by using the commonl experiences in our lives.
 
sasa kwani huwa huwez kuzitumia kupata starting poit?? ama kutegeneza benchmark??

what matters is everybody to give his/ her own experience and at last we shall have the true picture. not everything requires scientific evidence, some of things we discuss them by using the commonl experiences in our lives.

Sijasema kwamba huwezi kuzitumia kama starting point, nimeorodhesha baadhi ya matatizo yake tu.
 
Sijasema kwamba huwezi kuzitumia kama starting point, nimeorodhesha baadhi ya matatizo yake tu.

nashukuru kwamba u have given me a brain, but also you have proved to me that am not wrong by using them to capture the first impression.
 
nashukuru kwamba u have given me a brain, but also you have proved to me that am not wrong by using them to capture the first impression.

Wewe ulifaa kuwa kwenye academy huko watu wanapoweza kuuliza seemingly nonsensical questions from the pesrpective of the zeitgeist.

Washamfukuza Lawrence Summers Harvard hivihivi kwa sababu kauliza kama wananwake wana mbongo sawa na wanaume katika kukokotoa mahesabu. Kumbe mwenzao anatumia "academic license" wao wamemchukulia kama mtu mzima na akili zake.

Big distinction. Kwenye academia unaruhusiwa kuuliza maswali ya kichaa, huku chini ukiuliza hayo unaonekana kichaa.
 
Wewe ulifaa kuwa kwenye academy huko watu wanapoweza kuuliza seemingly nonsensical questions from the pesrpective of the zeitgeist.

Washamfukuza Lawrence Summers Harvard hivihivi kwa sababu kauliza kama wananwake wana mbongo sawa na wanaume katika kukokotoa mahesabu. Kumbe mwenzao anatumia "academic license" wao wamemchukulia kama mtu mzima na akili zake.

Big distinction. Kwenye academia unaruhusiwa kuuliza maswali ya kichaa, huku chini ukiuliza hayo unaonekana kichaa.
hahahahaha! kumbe maswali yangu ni ya kichaa???? btw mm ni mwl hivyo kwakua nawatoa watu ujinga basi na mm naweza kuwa ni kichaa ila mkubwa ukilinganisha na ninaowafunza.

kwa hiyo kwa utash wako hii mada ilikuwa ni nonsensical sio?? but nakuhakikishia kwangu mm imeweza kunipa jibu la maswali niliyokuwa nataka nijiridhishe kwenye maisha ya kila siku. na nisinge yajua bila kuambiwa na waliotoa comment zao.
 
hahahahaha! kumbe maswali yangu ni ya kichaa???? btw mm ni mwl hivyo kwakua nawatoa watu ujinga basi na mm naweza kuwa ni kichaa ila mkubwa ukilinganisha na ninaowafunza.

kwa hiyo kwa utash wako hii mada ilikuwa ni nonsensical sio?? but nakuhakikishia kwangu mm imeweza kunipa jibu la maswali niliyokuwa nataka nijiridhishe kwenye maisha ya kila siku. na nisinge yajua bila kuambiwa na waliotoa comment zao.

Kama unaweza kunisoma vizuri nilijua maswali yako ni ya kiualimu-alimu kabla hata hujasema wewe mwalimu.

Ndo maana nikasema maswali haya yana "academic license" na kueleza habari za Lau Summers na Harvard.

Ahsante mwalimu kwa kujivika uanagenzi, na kutuacha sie wanagenzi tujivike ualimu kwa theluthi ya sekunde.

Mapenzi mengi kwa walimu wote wanaozingatia taaluma, bila wao hakuna Kiranga wala kiranga.
 
Inategemeana na aina ya mwanamke uliye naye. Mi huwa namuomba radhi/msamaha nikimkosea na huwa ananisamehe na ninakuwa na amani ya nyumba yangu.Lakini sasa baadhi ya wanawake wakiombwa msamaha inakuwa mwanzo wa kuwadharau waume zao, na kuanzisha vitimbwi zaidi ndani ya nyumba. Hii ni hatari sana, ndiyo maana baadhi ya wanaume hupata shida kuomba msamaha kwa wake zao ili kuepusha vitimbwi zaidi vya wanawake wasiokuwa na busara.
 
Back
Top Bottom