Fashion is a popular aesthetic expression in a certain time and context, especially in clothing, footwear, lifestyle, accessories, makeup, hairstyle and body proportions. Whereas, a trend often connotes a very specific aesthetic expression, and often lasting shorter than a season, fashion is a distinctive and industry-supported expression traditionally tied to the fashion season and collections. Style is an expression that lasts over many seasons, and is often connected to cultural movements and social markers, symbols, class and culture (ex. Baroque, Rococo, etc.). According to sociologist Pierre Bourdieu, fashion connotes “the latest fashion, the latest difference.”Even though they are often used together, the term fashion differs from clothes and costume, where the first describes the material and technical garment, whereas the second has been relegated to special senses like fancy-dress or masquerade wear. Fashion instead describes the social and temporal system that "activates" dress as a social signifier in a certain time and context. Philosopher Giorgio Agamben connects fashion to the current intensity of the qualitative moment, to the temporal aspect the Greek called kairos, whereas clothes belong to the quantitative, to what the Greek called chronos.Exclusive brands aspire for the label haute couture, but the term is technically limited to members of the Chambre Syndicale de la Haute Couture in Paris.With increasing mass-production of consumer commodities at cheaper prices, and with global reach, sustainability has become an urgent issue amongst politicians, brands and consumers.
Salaam!
Wanaume tuwe makini kwani kizuri kikizidi huwa kibaya.
Ushawahi kusikia finite na infinite, chenye mwanzo na mwisho relatively.....
Basi tunao penda kuvaa vizuri na kupendeza tuwe na mipaka.
Hususani sie wanaume, kwa sababu wakuu vipo vingi venye urembo na urembo ni addiction huvuta...
Tukiwa tunajiburudisha jion ya Leo hapa Arusha - Kona ya Florida nimeshuhudia kijana aliyekaa kaunta pampers aliyovaa ikichomoza Kwa nyuma. Hii Imekaaje, na hii si mara ya Kwanza kushuhudiq haya. Hii Imekaaje?
Mwaka Jana wandoa wanaume wanadai wamama wabaya Wakaenda Kwa michepuko,
Mwaka huu wamama na shida zao na comments zao na michepuko .
At least mna watoto bwana hebu shukeni mtuambie shida nini ?mbona mama zenu , baba zenu walikuwa wanavumiliana aisee acheni hizo .
Vumilieni aisee maana...
Kariakoo inaanza kuwa na mwonekano mpya, kila mtaa ukipita unakuta ghorofa limeangushwa linanyanyuliwa lingine, safi sana.
Ila mengine bado yapo imara lakini yanabomolewa na kujengwa mapya, wacha nitafute pesa.
Nimekutana na watu wengi sana wakiwa na hizi bangili sio wazee tu Hadi vijana.
Je huo ni ulozi? Au kujikinga na mabaya? Wanaovaa wengi ni wafanyabiashara.
Imekuwa ni jambo la kushangaza kwa watanzania wengi kuamua kujenga na kuendelea kuishi maisha yale yale.
Unakutana fundi fenicha aliyefanya kazi miaka 15 anakuambia anamalizia ujenzi ukiangalia ufanyaji kazi bado wa kusubiri hela advance kwa mteja hafikirii kabisa kuwa na store kubwa utakayotoa...
Habari,
Biashara ya viatu na pochi za kisistaduu zinalipa kwa Mbagala Rangitatu?
Natumai kuanzisha biashara, nina 2.5M ila biashara ninayoipenda ni viatu vya kike, yaani vinavyohusu wanawake.
Fremu nakusudia nipate mbele mbele stendi yaani.
Mnanishaurije, biashara hii inalipa au?
Beyond all the misguided actions we commit and all the futile gestures we use to insist that we are independent, self-controlling beings, the overwhelming evidence reveals that we are neither. We are really stumbling simpletons consistently unable to determine our own destinies.
We are...
Najua Tanzania kuanzia wakati wa Kikwete imekuwa kama sifa kuwa na PHD hata kama ni za kupewa, kupendelewa au kununua. Kwa wanajua elimu huwezi na ni vigumu kuweza kupata PHD ya kweli wakati wewe ni waziri. Kuna mawili kama umepata PHD yako kama waziri kwanza inawezekana hufanyi kazi yako vizuri...
SIKIA HII
Tanzania ni nchi ya pili kwa mifugo mingi barani Afrika nyuma ya Ethiopia.Uwepo wa mifugo mingi ni fursa kubwa ya kuwekeza na kukuza biashara ya ngozi. Tuko wapi? ,Licha ya kuwa na fursa hii Tanzania ni nchi ya kumi na moja kwa uuzaji wa ngozi nje na uwezo wake ukiporomoka kila...
Offer kabambe: pata saa 3 za Viwango kwa 100,000/- TU!
Hizi saa thamani yake kwa kawaida
ni over 200K TZs.
Lakini nimeamua kutoa unbeatable offer, hivyo utapata kwa 100,000 TU! Unapata saa zote tatu!
Kwa wale wanaojua value ya hizo saa wananielewa.
Brands:
Amst =1
Navi Force = 1
Skmei...
Mbunifu huyu aliyejipatia umaarufu kwa ubunifu wa mavazi ya mtaani (streetwear) na kupelekea kuingia mkataba na Makampuni kama Nike na Jordan amefariki dunia muda si mrefu kwa ugonjwa wa kansa akiwa na miaka 41,aliogundulika nao mnamo 2019.
Mbunifu huyu alikuwa mashuhuri katika utamaduni wa...
Nimeona magari mengi ya waheshimiwa wetuyansikitisha sana jamani,hivi wananchi wa TANZANIA mnakubali vipi watu wasiolala kwa ajili yetu,,waliojitolea maisha yao kwa ajili yetu waendeshwe kwenye magari ya hovyohovyo?
Siyo heshima kwa nchi, na suggest itengwe hata trillion 1 ishushe new models za...
Hello ni mimi tena BINADAMU MTAKATIFU natumai mu wazima wa afya,
Leo bwana nataka tusemezane kuhusu zaidi utakatifu na mbinu za adui(Ufalme wa giza)
Kuna watu wengi ambao wamepotoshwa sana leo sitazungumzia dini ila kwa kiasi nwenye akili atatambua lililo sahihi sio kila mtu atakwenda mbinguni...
Hii ndio fashion aliyekuja nayo mkali wa Bongofleva hapa Tanzania.
Ukipata Nafasi ya Kukutana na Msanii Barnaba AKA Mopao Mkali wa Fashion
Je Utampa Neno Gani. kwa Fashion hii.???
Siamini kabisa haya majengo marefu yenye kuta za vioo
Unakuta jengo halina hata tofali, najiuliza hivi ule ukuta wa kioo unaweza ukaegamia kwa amani?
Ikitokea tetemeko vipi?
Sababu kubwa za kutumia vioo karika ujenzi wa magorofa makubwa ni jini?
This practice does not conform to the norms and values of the society, particularly the African society.
This practice is now so common in public places like in churches and offices. Indecent dressing is caused by common phrases which are the problems of our generation like; "Only God can judge...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.