UMUGHAKA
JF-Expert Member
- Sep 1, 2021
- 2,157
- 10,718
Nsikuchoshe na Usinchoshe,tusichoshane!
Huwa ni rahisi sana kwa mwanamke anapopata mwanaume au anapotongozwa na mwanaume na kumkubalia kuomba kabla ya tendo la kujamiiana wapime kwanza hasa Ugonjwa wa Upungufu wa Kinga Mwilini(UKIMWI) ila huwa ni ngumu sana kwa mwanaume anapomtongoza mwanamke kwa mara ya kwanza akakubali kuomba wapime kwanza,Je,Tatizo huwa ni nini kwa wanaume?
Je, ni kumuamini mwanamke kwa macho?
Je, ni kutokana na uzuri wa mwanamke uliyemtongoza ndiyo unachangia kudhani hana magonjwa mpaka kudhani vipimo having maana?
Kwanini mwanamke hata akitongozwa na mwanaume Handsome na mwenye hela cha kwanza huwa ni kutaka vipimo tofauti na mwanaume?
Mwanaume anapotongoza pisi kali ikakubali yeye hawazi suala la kupima kabisa huwa anawaza namna ya kumshughulikia huyo mwanamke kwa fimbo za mianzi iliyotukuka!
Shida huwa ni ipi wanaume hatupendi kupima wanawake tunaokutana nao?
Huwa ni rahisi sana kwa mwanamke anapopata mwanaume au anapotongozwa na mwanaume na kumkubalia kuomba kabla ya tendo la kujamiiana wapime kwanza hasa Ugonjwa wa Upungufu wa Kinga Mwilini(UKIMWI) ila huwa ni ngumu sana kwa mwanaume anapomtongoza mwanamke kwa mara ya kwanza akakubali kuomba wapime kwanza,Je,Tatizo huwa ni nini kwa wanaume?
Je, ni kumuamini mwanamke kwa macho?
Je, ni kutokana na uzuri wa mwanamke uliyemtongoza ndiyo unachangia kudhani hana magonjwa mpaka kudhani vipimo having maana?
Kwanini mwanamke hata akitongozwa na mwanaume Handsome na mwenye hela cha kwanza huwa ni kutaka vipimo tofauti na mwanaume?
Mwanaume anapotongoza pisi kali ikakubali yeye hawazi suala la kupima kabisa huwa anawaza namna ya kumshughulikia huyo mwanamke kwa fimbo za mianzi iliyotukuka!
Shida huwa ni ipi wanaume hatupendi kupima wanawake tunaokutana nao?