Wanaume Tabia ya Kukopa Wanawake Mmeanza Lini?

Wanaume Tabia ya Kukopa Wanawake Mmeanza Lini?

Wakiwa kwenye nyuzi wanajisifia kweli wana hiki wana magari,wana nyumba wanaishi maisha mazurii ,kumbe wanapima upepo wakija pm anaanza na vimaneno vya kukulainisha na kujifanya ana busara kumbeee anataka kukopa pesa utashangaa tu siku moja ,,"nikuambie kitu"ujue unapigwa mzinga
Leo tuseme tu maana wao huwa tunawatunzia siri,,lakin wao kutwa kutunanga alaaa
WANAUME WA JF ACHENI KUJA PM KUTUKOPA PESA
wanaojisifia ndio hao hawanaga kitu ni kenge tu
 
Wakiwa kwenye nyuzi wanajisifia kweli wana hiki wana magari,wana nyumba wanaishi maisha mazurii ,kumbe wanapima upepo wakija pm anaanza na vimaneno vya kukulainisha na kujifanya ana busara kumbeee anataka kukopa pesa utashangaa tu siku moja ,,"nikuambie kitu"ujue unapigwa mzinga
Leo tuseme tu maana wao huwa tunawatunzia siri,,lakin wao kutwa kutunanga alaaa
WANAUME WA JF ACHENI KUJA PM KUTUKOPA PESA
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom