Wanaume suruali!

Mpendwa umeongea point tupu.
Ila mimi sio wakusikiliza maneno ya watu tu na kuyachukua kama yalivyo.Huyo aliyeongea hivyo hii ni mara ya pili kwa style tofauti....mara ya kwanza nilimwambia tu nimesikia hivi na hivi akasema sio kweli ni wivu wa watu nikachagua kumuamini yeye.Ila nilichosikia mara ya pili imebidi nifikirie kwa kina.
Pluss aliyeniambia kusema ukweli sioni sababu ya yeye kudanganya....

Kumbe ulisikia kwa watu ayaaaaa mm nilikuwa nafikiri ulimfuma jamaa anapiga story.
Sasa hapo yawezekana unampakazia jamaa tu kwa maneno ya kusikia kwa watu.
 
Kwa kweli hata mi SIWAPENDI wanaume wa aina hii. Mara nyingi aina hii ya wanaume huwa hawajiamini kwahiyo wanatumia vimaneno kujifariji ili waonekane wao ndo wao mbele ya jamii..na watu wa aina hii ipo siku wanakuja kuumbuka..halafu hawajaumbwa kwa sura za haya hata kidogoo wanaboa mnooo.yamewahi kunikuta na mie ndo mana nina hasira nao..aarrrggghh
 
Pole naona yamekukuta
Kuwa makini urafiki huwa unakuwa na mipaka yake kama unabususiana ovyo ovyo na njemba lazima lijigambe kuwa linakaribia kutembea na wewe wengi wenu wanawake mnashindwa kulinda mipaka ya urafiki na wanaume unajikuta unasogeza vitu mpaka jamaa anaanza kubambia bambia.

Though that did not happen in this case....haina maana ikiwa hivyo ndo mtu akapige domo mtaani!
 
dah! JF bana! yaani mnaishi uswahilini halaf mnataka mkutane na wanaume faifu star? solution ya hii sredi ni fupi sana. "ondokeni uswahilini"
sredi klosed

Muone...sura kama uswahilini!!!
UngaLTD hamna uswahilini wewe!!Alafu hao faifu star ndo wapigaji domo wazuri maana wanadhani wanaweza kumpata mwanamke yeyote...basi ukimkatalia tu inabidi ajisifie uongo ili aonekane kwamba kweli anaweza.
 
Lizzy yashanifika haya sina hamu ,huwa najiuliza sijui wengine domo huwa zito matokeo yake wanaanza kupakaza mbovu..
Ila tabia hii ni mbaya sana
 
Kwani Belinda mtu akisema ameshafanya na wewe mapenzi, ni kukudhalilisha? Mapenzi si kitu kizuri, au?

Hivi wadada katika stori zenu hampeani stori kuwa, 'mwanaume fulani tayari nilishaenda naye', 'boss fulani tulishaenjoy malavidavi', 'yule dereva mtamu sana aisee',n.k? l.o.l

Kama sio kweli kuna uzuri gani???
Na kama umemkataa that means hajafikia kiwango....alafu akatangaze mtaani amefikia?:bored:
 
kumbe hili li sredi anapigwa dongo mtu?, dah! mchizi kachemsha! kama member wa JF acha nikamsubirie jukwaa la introduction, atakuja na ID mpya muda si mrefu.

Alafu we nna hasira na wewe!!!
 
Kama sio kweli kuna uzuri gani???
Na kama umemkataa that means hajafikia kiwango....alafu akatangaze mtaani amefikia?:bored:

Dah kwa mtindo huu angalia na wewe usije ukaitwa mwanamke mama huruma kila mwenye kiwango utakuwa unampa kama njugu mmh
 
Muone...sura kama uswahilini!!!
UngaLTD hamna uswahilini wewe!!Alafu hao faifu star ndo wapigaji domo wazuri maana wanadhani wanaweza kumpata mwanamke yeyote...basi ukimkatalia tu inabidi ajisifie uongo ili aonekane kwamba kweli anaweza.
khaaaa! leo inaonekana watakoma walompakazia Lizzy. yaani post zinadondoka kama mipasho ya talabu?
 
Lizzy,

Hivi wewe umefahamu vipi au una uhakika gani kwamba Mr.X and Mr. Y ndiyo wansambaza haya maneno:-

"..fulani niko nae.."
".. fulani nimetembea nae.."
"..fulani namjua sana kafanya hili na lile.."??????

Kwa taarifa yako tu.. Kama umeambiwa na Mwanaume mwingine (Mr. Z) ku Mr. X or Mr Y anakusema hivi na hivi, fahamu fika kuwa huyo Mr. Z anatumia hiyo kama "gear" ya kukutongoza au kama umeambiwa na Mwanamke (Ms A) fahamu fika kuwa anataka "kukuzibia riziki"!

It is very SAD kwamba Msichana anapokuwa kwenye urafiki wa "kawaida" na Mr.X or Y, Mr. Z na wengineo ambao walishawahi kukataliwa huwa wanajisikia vibaya to the extent ya kuanzisha propaganda kama hizo ulizoziandika, ili mradi tu waharibu regardless. Also kwa wanawake wengine ambao siyo "likeable" kama Ms A, huwa wanajisikia vibaya sana kuona Lizzy anakuwa na urafiki na wanaume regardless.

My Advice: Acha kusikiliza UMBEA wa mtaani, kwa maana hata Papa Paul II aliwahi kusema kuwa "Stupidity is also a gift of God, but one mustn't misuse it”
UMBEYA, UDAKU, UONGO, UNDUMILAKUWILI; KIDOMODOMO ni tabia mbaya kwa yeyote, iwe mwanamme au mwanamke, lakini inakuwa mbaya zaidi iwapo mwanamume anafanya umbeya -au vyovyote uuitavyo- iwe kwa wanawake au kwa wanaume wenzake. Hili haliwapi kibali wanawake kufanya umbeya. Ni tabia chafu. Mbali ya ujinga na ushamba, kuna dalili za Utoto na Wivu. La mwanzo linakubalika ikiwa wanaofanya hivyo ni watoto, lakini la pili ni "too, even four much".
 
Heheheh....we acha tu mpendwa!!
Alafu wakati naanza kuandika hii post akaja nilipo na kuanza kuniambia hajasema chochote maana nilishamuuliza.
mmmh hapana hapa kuja jambo,
Lizzy unasema kweli au leo una hamu ya kukashifu wakaka ukaona uzunguke mmbuyu kwa staili hii ili urushe ngumi na mateke bila vikwazo?
 
Back
Top Bottom