Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,444
Mpendwa umeongea point tupu.
Ila mimi sio wakusikiliza maneno ya watu tu na kuyachukua kama yalivyo.Huyo aliyeongea hivyo hii ni mara ya pili kwa style tofauti....mara ya kwanza nilimwambia tu nimesikia hivi na hivi akasema sio kweli ni wivu wa watu nikachagua kumuamini yeye.Ila nilichosikia mara ya pili imebidi nifikirie kwa kina.
Pluss aliyeniambia kusema ukweli sioni sababu ya yeye kudanganya....
Kumbe ulisikia kwa watu ayaaaaa mm nilikuwa nafikiri ulimfuma jamaa anapiga story.
Sasa hapo yawezekana unampakazia jamaa tu kwa maneno ya kusikia kwa watu.