The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,071
Hivi kule Tandale kwa Tumbo na Kwa Mtogole au yale maeneo ya Manzese Midizini hakuna mwanaume au mwanamke faivu star??dah! JF bana! yaani mnaishi uswahilini halaf mnataka mkutane na wanaume faifu star? solution ya hii sredi ni fupi sana. "ondokeni uswahilini"
sredi klosed