Wanaume suruali!

Kweli sio tabia nzuri wanaume wa tabia hii muache sio tabia nzuri.
 
Hebu fafanua hii heading.. Wanaume wa hivyo ni wanaume suruali, au wanaume wa hivyo wanatakiwa wabadilike wawe wanaume suruali?
 
Sijawahi kuwachukia wanaume wote kama kundi...ila kuna baadhi wenye tabia za ajabu ajabu nawachukia sana.Hawa ni wale wenye maneno mengi....ya ukweli au ya uongo...mwanaume akishaanza kutumia maneno kupata attention tayari anafaa avalishwe sketi.

Nimejikuta nashangazwa na watu wawilii wa aina hiyo kwa mpigo....nikajikuta najiuliza inakuaje mpaka mtu anaanza kwenda kusambaza maneno ya fulani niko nae...fulani nimetembea nae...fulani namjua sana kafanya hili na lile wakati sio hua
inasabishwa na nini zaidi ya utoto...ushamba na ujinga:???Yani nimeboreka!!

Nwyz kama kuna wa aina hiyo humu embu nifungueni macho alafu muache hiyo tabia!

Pole naona yamekukuta
Kuwa makini urafiki huwa unakuwa na mipaka yake kama unabususiana ovyo ovyo na njemba lazima lijigambe kuwa linakaribia kutembea na wewe wengi wenu wanawake mnashindwa kulinda mipaka ya urafiki na wanaume unajikuta unasogeza vitu mpaka jamaa anaanza kubambia bambia.
 
Sijawahi kuwachukia wanaume wote kama kundi...ila kuna baadhi wenye tabia za ajabu ajabu nawachukia sana.Hawa ni wale wenye maneno mengi....ya ukweli au ya uongo...mwanaume akishaanza kutumia maneno kupata attention tayari anafaa avalishwe sketi.

Nimejikuta nashangazwa na watu wawilii wa aina hiyo kwa mpigo....nikajikuta najiuliza inakuaje mpaka mtu anaanza kwenda kusambaza maneno ya fulani niko nae...fulani nimetembea nae...fulani namjua sana kafanya hili na lile wakati sio hua
inasabishwa na nini zaidi ya utoto...ushamba na ujinga:???Yani nimeboreka!!

Nwyz kama kuna wa aina hiyo humu embu nifungueni macho alafu muache hiyo tabia!


hiyo red inahusika kwa sana
 
Ukute hata binti wa watu hamjui unasikia pale nimegonga mara yule tayari nimepitia..Ili mradi mbele ya wanaume wenzake aonekane kinara.
Wanaume wa aina hii wanapenda kut********* midomo tu hamna zaidi na kudhalilisha wanawake kwa kuwapakazia uongo.

Nimeshamsuta mmoja mbona alinikoma mbele ya rafiki zake..sikumbakishia hata kidogo mana alikuwa amezidi kuharibu profile za watu makusudi.
 
Hivi kuna Wanaume Kaptura????

Kwa ninavyojua mimi mwanaume anaweza kuwa;
Mwanaume suruali'
mwanaume kaptula,
mwanaume msuli,
mwanaume bukta,
mwanaume pensi,
mwanaume kanzu,
mwanaume rubega,
 
Ukute hata binti wa watu hamjui unasikia pale nimegonga mara yule tayari nimepitia..Ili mradi mbele ya wanaume wenzake aonekane kinara.
Wanaume wa aina hii wanapenda kut********* midomo tu hamna zaidi na kudhalilisha wanawake kwa kuwapakazia uongo.

Nimeshamsuta mmoja mbona alinikoma mbele ya rafiki zake..sikumbakishia hata kidogo mana alikuwa amezidi kuharibu profile za watu makusudi.

Nimepata kusikia vidume vinavyo jitamba kuwa pale tayari nimesha maliza yaani kesha fanya matusi mara nyingi bakora zao hazifanyi kazi
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom