Quetzal
JF-Expert Member
- Dec 9, 2018
- 6,345
- 10,822
Wafuatao wapo SINGLE, hebu tuwascan kama hawako responsible na accountable..Single ni mtu ambaye asiye responsible wala accountable na maisha yake
Ni mtu aliyekata tamaa ya maisha
TrueSingle ni mtu ambaye asiye responsible wala accountable na maisha yake
Ni mtu aliyekata tamaa ya maisha
Usiigize au usiige maishani maana Yesu ni Mungu yeye ni roho .Wafuatao wapo SINGLE, hebu tuwascan kama hawako responsible na accountable..
1. Dangote (Dangote group) is SINGLE now..
2. Bezos (Amazon) is DINGLE now..
3. Isack Newton (Physics) was single the whole life...
4. Jesus (Xstian) was single until death
5. Paulo (waraka wa kutosha kwa biblia) was single his whole life...
NIENDELEE...
Hiyo SCANNING UTAIFANYA MWENYEWE.
#YNWA
Wrote from Anfield..!!
Ikiwiva tupeni mrejeshoNataka kukuoa mkuu
Unavuta bangi kwelimiaka iyo gunia la mahindi buku mbili na kitu hivi,sasa hivi ni hatari sana expensive package alafu unakuta mahindi mabovu,unga unatoka kama wa ulezi.
Ni KweliNAKUPENDA Sana future wife popote ulipo
Sasahivi nakutaftia chakura ....na maisha mazuri wewe na wanangu
K,K
Jamani wanaume ambao hamjaoa shida nini? Zamani ilikuwa mnasingizia tunapenda hela na sasa mnasingizia corona, hii hali ya kuishi wenyewe hamchoki?
Just imagine everytime unafanya vitu mwenyewe kupika, kufua, kuosha vyombo na ukiumwa hakuna wakukisaidia majukumu yote hayo.
Hamuoni ni muda wa kutulizana na kupata msaidizi?
Tuchambue hili jambo; mnakwama wapi?
![]()
Wachache sanaWafuatao wapo SINGLE, hebu tuwascan kama hawako responsible na accountable..
1. Dangote (Dangote group) is SINGLE now..
2. Bezos (Amazon) is DINGLE now..
3. Isack Newton (Physics) was single the whole life...
4. Jesus (Xstian) was single until death
5. Paulo (waraka wa kutosha kwa biblia) was single his whole life...
NIENDELEE...
Hiyo SCANNING UTAIFANYA MWENYEWE.
#YNWA
Wrote from Anfield..!!
Teh, mie sihitaji ndoa kwa sasa kaka yangu.Naomba uwe mke wangu i.e mama wa watoto wangu.
Napenda kuwa na mke smart kama wewe
Wachache? Umetumia research gani au source gani?Wachache sana
Kwahiyo kumbe umekubali kuoa ni someone's belief.Usiigize au usiige maishani maana Yesu ni Mungu yeye ni roho .
Diamond ni wanasema ni freemanson ila sio hivyo bali yeye anaishi kwa masharti yake na ukiwa kama yeye ni ngumu kuoa maana kila demu anapenda kitu kutoka kwake.
Hata hao wote so becareful with others people believes .
Mkuu kuoa ni jambo ambali linaweza kuwa dogo au kubwa kulingana na muoaji na muolewa...Jamani wanaume ambao hamjaoa shida nini? Zamani ilikuwa mnasingizia tunapenda hela na sasa mnasingizia corona, hii hali ya kuishi wenyewe hamchoki?
Just imagine everytime unafanya vitu mwenyewe kupika, kufua, kuosha vyombo na ukiumwa hakuna wakukisaidia majukumu yote hayo.
Hamuoni ni muda wa kutulizana na kupata msaidizi?
Tuchambue hili jambo; mnakwama wapi?
![]()
Nipo tayari kukusubiria mpenziTeh, mie sihitaji ndoa kwa sasa kaka yangu.
AmenichomoleaIkiwiva tupeni mrejesho
Walio single wengi hawajitambui.Wachache? Umetumia research gani au source gani?
Sasa hiyo kutokua kuresponsible na accountable IMETOKA WAPI?
#YNWA
Wrote from Anfield..!!