Wanaume Single mnasubiria nini?

Wanaume Single mnasubiria nini?

Jamani wanaume ambao hamjaoa shida nini kwa maana zamani ilikuwa mnasingizia tunapenda hela na sasa mnasingizia corona hii hali ya kuishi wenyewe hamchoki just imagine everytime unafanya vitu mwenyewe kupika , kufua , kuosha vyombo ukiumwa hakuna wakukisaidia majuku yote hayo .
Hamuoni ni muda wakutulizana na kupata msaidizi?
Tuchambue hili jambo mnakwama wapi?
unaweza ukawa katika mahusiano japo hujaoa so no shida yoyote wala upweke
 
Mbona kupika, kufua, kupiga deki na kuwasha mota ya kukinga maji ya ndani nimeshazowea
 
Jamani wanaume ambao hamjaoa shida nini kwa maana zamani ilikuwa mnasingizia tunapenda hela na sasa mnasingizia corona hii hali ya kuishi wenyewe hamchoki just imagine everytime unafanya vitu mwenyewe kupika , kufua , kuosha vyombo ukiumwa hakuna wakukisaidia majuku yote hayo .
Hamuoni ni muda wakutulizana na kupata msaidizi?
Tuchambue hili jambo mnakwama wapi?
Hakuna maisha matamu kama USINGLE..
1. Matumizi ya pesa yako unayapanga mwenyewe.
2. Huhitaji ruhusa ya mtu yeyotee kwenda sehemu yoyote.
3. N.K

#YOUR FREE FROM EVERY KIFUNGO..!!

#YNWA

Wrote from Anfield..!!
 
Hakuna maisha matamu kama USINGLE..
1. Matumizi ya pesa yako unayapanga mwenyewe.
2. Huhitaji ruhusa ya mtu yeyotee kwenda sehemu yoyote.
3. N.K

#YOUR FREE FROM EVERY KIFUNGO..!!

#YNWA

Wrote from Anfield..!!
Namba 2 hiyo
 
Jamani wanaume ambao hamjaoa shida nini kwa maana zamani ilikuwa mnasingizia tunapenda hela na sasa mnasingizia corona hii hali ya kuishi wenyewe hamchoki just imagine everytime unafanya vitu mwenyewe kupika , kufua , kuosha vyombo ukiumwa hakuna wakukisaidia majuku yote hayo .
Hamuoni ni muda wakutulizana na kupata msaidizi?
Tuchambue hili jambo mnakwama wapi?
😁🤗
Sababu ni moja tu,
Kama naweza kupata maziwa kiurahisi yanini nihangaike kufuga Ng'ombe mzima?
 
Jamani wanaume ambao hamjaoa shida nini? Zamani ilikuwa mnasingizia tunapenda hela na sasa mnasingizia corona, hii hali ya kuishi wenyewe hamchoki?

Just imagine everytime unafanya vitu mwenyewe kupika, kufua, kuosha vyombo na ukiumwa hakuna wakukisaidia majukumu yote hayo.


Hamuoni ni muda wa kutulizana na kupata msaidizi?

Tuchambue hili jambo; mnakwama wapi?
Nioe saiv niishiwe dam? Wanawake wakuoa walkuw zaman sio saiv tutapeana stress bulee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Utarudi saa ngapi?
Mbona Umechelewa kurudi
Upo wapi
Kwani lazima upite maskani!?

Huo muda wa kujibu hayo maswali ninao sasa!?
 
Jamani wanaume ambao hamjaoa shida nini? Zamani ilikuwa mnasingizia tunapenda hela na sasa mnasingizia corona, hii hali ya kuishi wenyewe hamchoki?

Just imagine everytime unafanya vitu mwenyewe kupika, kufua, kuosha vyombo na ukiumwa hakuna wakukisaidia majukumu yote hayo.


Hamuoni ni muda wa kutulizana na kupata msaidizi?

Tuchambue hili jambo; mnakwama wapi?
😁🤗
Usijali my sweet L.. Mumo niko hapa.. Zama inbobo faster!
 
Back
Top Bottom